Je, maksai anaweza kutumika kuvuta pampu ya maji?

Je, maksai anaweza kutumika kuvuta pampu ya maji?

Mr.genius

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
1,374
Reaction score
1,201
Salama wa kuu? Sina hakika kama tittle yangu km imekaa vzr, but ntajaribu kuielezea hapa.

Ni kwamba nimekua nikijiuliza hili swali kwamba je, nguvu za ngo'ombe wa maksai zinaweza kutumika kuvuta maji kwa kutumia pump maalum ambazo zitaendeshwa na energy ya maksai?

Sabab za kujiuliza swali hilo ni kutokana na kuona namna vile ng'ombe anaweza kuvuta mkokoteni wenye mzigo mkubwa tu had kilo 700, anaweza kuvuta jembe lile la kukokotwa na ng'ombe (plau) ss km ana energy ya kutosha like this je, hakuna namna ambayo akatumika kuvuta pampu ya maji wakulima tukatumia kwny kumwagilia?

Heb wajuzi wa mambo tafafhali tupeni mwanga hapo na kama kuna pamup za maji ambazo tayari zipo zinaendeshwa kwa nguvu za maksi ningependa kujua ziko wap na ghamarama zake!
20220118_081213.jpg
 
Ili mai yatoke kisimani yanavutwa ( absorbed) kwa nguvu maalum let's say panga boi linalosunguka na kuzalisha kani mvutano na siyo kukokotwa mzee vipi unafeli wapi[emoji28]
Sijui kama umenielewa, sikufkria kuhusu maji ya kisima ingaweje nafkr ni the same concept heb fkria pampu kama zile za money maker. Zile pump nguvu znazotumika kuvuta maji either kwny kisima au kwny mto hua ni nguvu za binadamu yaan anakanyaga maji yanavutwa. So, power au energy inayotumika hapa ni ya BINADAMU ss bas kwa kutumia mfano hua hebu tumreplace hapa binadamu tumweke MAKSAI (ambaye ana power kubwa kuliko hata binadamu) ss ndo swali langu linapokuja hv kweli hakuna namna ya kutumia power ya maksai kui-convert ikatumika kuvuta maji from the source to the shamba?
Yaan hapa sio kwamba naleta wazo jipya hapana yaan si kuna pump za kutumia mafuta? Si zipo za kutumia nguvu za umeme was jua? Si zipo za kutumia nguvu za upepo? Sasa wazo langu ni kua na pamp za kusukuma maji (has a kwaajili ya kumwagilia) ambazo zinatumia nguvu za MAKSAI as the source of POWER. Sijui nmeeleweka?
 
Sijui kama umenielewa, sikufkria kuhusu maji ya kisima ingaweje nafkr ni the same concept heb fkria pampu kama zile za money maker. Zile pump nguvu znazotumika kuvuta maji either kwny kisima au kwny mto hua ni nguvu za binadamu yaan anakanyaga maji yanavutwa. So, power au energy inayotumika hapa ni ya BINADAMU ss bas kwa kutumia mfano hua hebu tumreplace hapa binadamu tumweke MAKSAI (ambaye ana power kubwa kuliko hata binadamu) ss ndo swali langu linapokuja hv kweli hakuna namna ya kutumia power ya maksai kui-convert ikatumika kuvuta maji from the source to the shamba?
Yaan hapa sio kwamba naleta wazo jipya hapana yaan si kuna pump za kutumia mafuta? Si zipo za kutumia nguvu za umeme was jua? Si zipo za kutumia nguvu za upepo? Sasa wazo langu ni kua na pamp za kusukuma maji (has a kwaajili ya kumwagilia) ambazo zinatumia nguvu za MAKSAI as the source of POWER. Sijui nmeeleweka?
Nimekuelewa. Nadhani inawezekana kwa kutengeneza pedal kubwa litakalounganisha nira/ yolk ya maksai na motor, na maksai watakuwa wanatembea kwa kuzunguka duara maalumu Ili motor izungike. Kwa hiyo badala ya motor kutumia umeme au mafuta itumie nguvu za maksai wanaozunguka duara. Hata hivyo itakuwa inaenda against the law of conservation of energy kwa sababu hakuna transformation of energy from one form to another
 
Salama wa kuu? Sina hakika kama tittle yangu km imekaa vzr, but ntajaribu kuielezea hapa.

Ni kwamba nimekua nikijiuliza hili swali kwamba je, nguvu za ngo'ombe wa maksai zinaweza kutumika kuvuta maji kwa kutumia pump maalum ambazo zitaendeshwa na energy ya maksai?

Sabab za kujiuliza swali hilo ni kutokana na kuona namna vile ng'ombe anaweza kuvuta mkokoteni wenye mzigo mkubwa tu had kilo 700, anaweza kuvuta jembe lile la kukokotwa na ng'ombe (plau) ss km ana energy ya kutosha like this je, hakuna namna ambayo akatumika kuvuta pampu ya maji wakulima tukatumia kwny kumwagilia?

Heb wajuzi wa mambo tafafhali tupeni mwanga hapo na kama kuna pamup za maji ambazo tayari zipo zinaendeshwa kwa nguvu za maksi ningependa kujua ziko wap na ghamarama zake!
View attachment 2201552
Nafikili inawezekana ila efficiency yake ni ndogo labda kwa bustani ya nyumbani tuu
 
Nimekuelewa. Nadhani inawezekana kwa kutengeneza pedal kubwa litakalounganisha nira/ yolk ya maksai na motor, na maksai watakuwa wanatembea kwa kuzunguka duara maalumu Ili motor izungike. Kwa hiyo badala ya motor kutumia umeme au mafuta itumie nguvu za maksai wanaozunguka duara. Hata hivyo itakuwa inaenda against the law of conservation of energy kwa sababu hakuna transformation of energy from one form to another
 
Kumbe nipo sahihi
Ewaa! nlikua nazungumzia kitu kama hiki, asante kwa hii video mana nlisearch sn ila sikufanikiwa kuona kitu kama hiki. Kumbe kuna huu utaalam na kumbe inawezekana?. Ni kweli nguvu yake inawezekana ikawa ni ndogo lakin kwa wakulima wadogo itawafaa! Wataalam wetu wazikuze tu hz teknolojia dunia saiz iko huku kwny renewable energy!
 


Angalia free energy water pump inavyofanya kazi, unaweza ukatengeneza mwenyewe au ukamtumia fundi bomba akakusaidia. Ni rahisi sana na itakusaidia.
 
Sijui kama umenielewa, sikufkria kuhusu maji ya kisima ingaweje nafkr ni the same concept heb fkria pampu kama zile za money maker. Zile pump nguvu znazotumika kuvuta maji either kwny kisima au kwny mto hua ni nguvu za binadamu yaan anakanyaga maji yanavutwa. So, power au energy inayotumika hapa ni ya BINADAMU ss bas kwa kutumia mfano hua hebu tumreplace hapa binadamu tumweke MAKSAI (ambaye ana power kubwa kuliko hata binadamu) ss ndo swali langu linapokuja hv kweli hakuna namna ya kutumia power ya maksai kui-convert ikatumika kuvuta maji from the source to the shamba?
Yaan hapa sio kwamba naleta wazo jipya hapana yaan si kuna pump za kutumia mafuta? Si zipo za kutumia nguvu za umeme was jua? Si zipo za kutumia nguvu za upepo? Sasa wazo langu ni kua na pamp za kusukuma maji (has a kwaajili ya kumwagilia) ambazo zinatumia nguvu za MAKSAI as the source of POWER. Sijui nmeeleweka?
Utakua unashida mahali wewe
 
Mkuu pump ya maji kufanya kazi inategemea Kina, Density (ya hayo maji) na gravitational force; hapo unapata force inayotakiwa ili iweze kuyapump hayo maji...

Force (energy) ni force haijalishi inatokea wapi kwahio hata kama unaweza ukawakusanya nzi wa kutosha ili energy yao iweze kuwa converted to mechanical basi pump itafanya kazi..., ila swali ni efficiency yake itakuwaje ?

Kuhusu mambo ya free energy sahau hayo mambo hakuna free energy hata kama wewe huilipii (mfano solar au wind) sio bure hata zile Ram Pumps ni kwamba zinatumia energy ya flow ya maji ambayo kidogo inatumika kuyapump maji nyingine ila hayo maji mpaka kuflow ni kwamba ilitumia energy ya convert maji ya chini kuwa mawingu na baadae kunyesha kama mvua...
 
Mkuu pump ya maji kufanya kazi inategemea Kina, Density (ya hayo maji) na gravitational force; hapo unapata force inayotakiwa ili iweze kuyapump hayo maji...

Force (energy) ni force haijalishi inatokea wapi kwahio hata kama unaweza ukawakusanya nzi wa kutosha ili energy yao iweze kuwa converted to mechanical basi pump itafanya kazi..., ila swali ni efficiency yake itakuwaje ?

Kuhusu mambo ya free energy sahau hayo mambo hakuna free energy hata kama wewe huilipii (mfano solar au wind) sio bure hata zile Ram Pumps ni kwamba zinatumia energy ya flow ya maji ambayo kidogo inatumika kuyapump maji nyingine ila hayo maji mpaka kuflow ni kwamba ilitumia energy ya convert maji ya chini kuwa mawingu na baadae kunyesha kama mvua...
Kwani point yako mkui ni ipi?, mana kwa mm navyoiona aina hii ya pamp ni fursa km itutumiwa vzr kwasabab ni RENEWABLE. Na kwa n tunasema ni free kwasabab ili uitumie hauend kununua mafuta ni just ng'ombe wanafanya kaz. Kwa upande wa efficiency hili linahitaj numbers na utafit. I won't comment on that. Lakin for small scale farmer mi naona huu ni mchongo!
 
Kwani point yako mkui ni ipi?, mana kwa mm navyoiona aina hii ya pamp ni fursa km itutumiwa vzr kwasabab ni RENEWABLE.
Hapo nimejibu majibu ya post mbili mfululizo.., aina hii ya pump au nishati ilikuwa ikitumika tangu enzi na enzi, hata kipimo cha nguvu kinaitwa Horse Power sababu sababu nishati hata ya locomotives ilikuwa ikitumia farasi.. kwa sasa haitumiki sana sababu kuna njia ambazo ni bora zaidi
Na kwa n tunasema ni free kwasabab ili uitumie hauend kununua mafuta ni just ng'ombe wanafanya kaz.
Ingawa suala la free nilikuwa najibu post ya 10 ambapo mdau kasema angalia free energy water pump ndio maana nikasema hakuna kitu kama hicho hio energy hata kama haulipii moja kwa moja ila sio free inatoka sehemu..., kuhusu maksai ingawa unasave kwenye kutumia mafuta ila unaingia gharama ya kumlisha huyo kiumbe, ambapo ukifanya hesabu utajikuta kwamba gharama ni kubwa kuliko gallon moja ya mafuta au unit ya umeme...
Kwa upande wa efficiency hili linahitaj numbers na utafit. I won't comment on that. Lakin for small scale farmer mi naona huu ni mchongo!
Efficiency is low ila kama ni small farmer na hao viumbe wapo itakuwa ni busara kutumia..., ila huenda kutumia jua, ikawa efficiency zaidi au kama una mto ni bora zaidi au upepo kama upo pia ni bora
1651339713298.png


Point yangu ni kwamba nishati inaweza ikawa converted kutoka form nyingine kwenda nyingine..., tunachoangalia ni efficiency ili unachoweka kiweze kutoa kingi kuliko mbadala mwingine.., ila kama kuna nishati ambayo haitumiki na inapotea bure mfano jua itakuwa ni busara kuitumia..., na kama ngombe wapo ni vema kuwatumia ila sio kuwalisha ili tu waweze ku-pump maji unless otherwise una malisho mengi kuliko mahitaji
 
Salama wa kuu? Sina hakika kama tittle yangu km imekaa vzr, but ntajaribu kuielezea hapa.

Ni kwamba nimekua nikijiuliza hili swali kwamba je, nguvu za ngo'ombe wa maksai zinaweza kutumika kuvuta maji kwa kutumia pump maalum ambazo zitaendeshwa na energy ya maksai?

Sabab za kujiuliza swali hilo ni kutokana na kuona namna vile ng'ombe anaweza kuvuta mkokoteni wenye mzigo mkubwa tu had kilo 700, anaweza kuvuta jembe lile la kukokotwa na ng'ombe (plau) ss km ana energy ya kutosha like this je, hakuna namna ambayo akatumika kuvuta pampu ya maji wakulima tukatumia kwny kumwagilia?

Heb wajuzi wa mambo tafafhali tupeni mwanga hapo na kama kuna pamup za maji ambazo tayari zipo zinaendeshwa kwa nguvu za maksi ningependa kujua ziko wap na ghamarama zake!
View attachment 2201552
Mkuu kwanza hongera sana Kwa kushugulisha ubongo wako ipo technilogia ya kuvuta maji Kwa Ng'ombe na ni ya Karne nyingi sana inafanya kazi japo mechanical system yake ni mtambo mkubwa na primitive ila ni very effective inaitwa PERSIAN WHEEL BULL DRIVEN WATER FETCHING ,ukigoogle hiyo YouTube utapata video zake

Lakini kubwa nililoliona kwenye comments za wachangiaji hasa wasomi ,Elimu inaua curiosity na creativity ,inatuaminisha kuwa hamna kitu kinaweza fanyika nje ya tulichosoma
 
Salama wa kuu? Sina hakika kama tittle yangu km imekaa vzr, but ntajaribu kuielezea hapa.

Ni kwamba nimekua nikijiuliza hili swali kwamba je, nguvu za ngo'ombe wa maksai zinaweza kutumika kuvuta maji kwa kutumia pump maalum ambazo zitaendeshwa na energy ya maksai?

Sabab za kujiuliza swali hilo ni kutokana na kuona namna vile ng'ombe anaweza kuvuta mkokoteni wenye mzigo mkubwa tu had kilo 700, anaweza kuvuta jembe lile la kukokotwa na ng'ombe (plau) ss km ana energy ya kutosha like this je, hakuna namna ambayo akatumika kuvuta pampu ya maji wakulima tukatumia kwny kumwagilia?

Heb wajuzi wa mambo tafafhali tupeni mwanga hapo na kama kuna pamup za maji ambazo tayari zipo zinaendeshwa kwa nguvu za maksi ningependa kujua ziko wap na ghamarama zake!
View attachment 2201552
Ndo hii hapa
Screenshot_20220513-071715.jpg
 
Mkuu kwanza hongera sana Kwa kushugulisha ubongo wako ipo technilogia ya kuvuta maji Kwa Ng'ombe na ni ya Karne nyingi sana inafanya kazi japo mechanical system yake ni mtambo mkubwa na primitive ila ni very effective inaitwa PERSIAN WHEEL BULL DRIVEN WATER FETCHING ,ukigoogle hiyo YouTube utapata video zake

Lakini kubwa nililoliona kwenye comments za wachangiaji hasa wasomi ,Elimu inaua curiosity na creativity ,inatuaminisha kuwa hamna kitu kinaweza fanyika nje ya tulichosoma
Kwa heshima na taadhima kwa wachangiaji wote waliochangia ktk mada hii na si kwa ubaya. We ndo umeongea POINT nlitamani kui like hii post yako hata zaid ya mara mbili vile tu haiwezekani. "Elimu yetu inaua creativity & curiosity". Nmeichukua hiyo.
 
Back
Top Bottom