Je, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa sio jambo la muungano? Nini kinaendelea Zanzibar?

Je, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa sio jambo la muungano? Nini kinaendelea Zanzibar?

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Wanasema mzaha mzaha hutumbua usaha, kwa mujibu wa katiba yetu, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ni jambo la muungano, hii ni pamoja na misaada pamoja na mikopo kutoka nje ya nchi. (Katiba ya JMT ibara ya 4 nyongeza ya kwanza)

Lakini tangu awamu ya sita ya rais wetu Samia Suluhu ishike hatamu, kumekuwa na jambo la kushangaza linaendelea Zanzibar, mabalozi wa nchi mbalimbali hususani za magharibi pamoja na wajumbe wa mashirika ya kimataifa wamekua wakifanya ziara Zanzibar pamoja na kukutana na kufanya vikao na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Mikutano hiyo imekua ikilenga kuongeza ushirikiano baina ya mataifa hayo na Zanzibar. Na baadhi yao wamemwaga ahadi za misaada kwa Zanzibar.

Je, mwenendo huu wa Zanzibar na mataifa hayo ya nje ni sawa? Nini hatima ya muungano wetu?

Screenshot_20210604-172029~2.png


Screenshot_20210604-172716~2.png


Screenshot_20210604-172900~2.png


Screenshot_20210604-172949~2.png
 
Wanasema mzaha mzaha hutumbua usaha, kwa mujibu wa katiba yetu, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ni jambo la muungano, hii ni pamoja na misaada pamoja na mikopo kutoka nje ya nchi. (Katiba ya JMT ibara ya 4 nyongeza ya kwanza)

Lakini tangu awamu ya sita ya rais wetu Samia Suluhu ishike hatamu, kumekuwa na jambo la kushangaza linaendelea Zanzibar, mabalozi wa nchi mbalimbali hususani za magharibi pamoja na wajumbe wa mashirika ya kimataifa wamekua wakifanya ziara Zanzibar pamoja na kukutana na kufanya vikao na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Mikutano hiyo imekua ikilenga kuongeza ushirikiano baina ya mataifa hayo na Zanzibar. Na baadhi yao wamemwaga ahadi za misaada kwa Zanzibar.

Je, mwenendo huu wa Zanzibar na mataifa hayo ya nje ni sawa? Nini hatima ya muungano wetu?

View attachment 1809931

View attachment 1809932

View attachment 1809933

View attachment 1809934
Usiwe na wasiwasi, kinachoendelea Zanzibar ni sawa kabisa. Muungano wetu ni very unique, kimataifa ni muungano wa union wa nchi moja, rais mmoja wa JMT, na serikali moja. Hivyo mabalozi wote wanajitambulisha kwa rais wa JMT only.

Kwa ndani ya muungano, muungano wetu ni wa federation lenye nchi mbili, marais wawili na serikali mbili. Hivyo balozi zote zinawajibika kuwa na ofisi ndogo Zanzibar.

Na kwa mambo ambayo sio ya muungano, Zanzibar ina haki ya kupata misaada na mikopo ya kimataifa kwa udhamini wa serikali ya JMT. Hivyo whatever taking place over there ni legit
P
 
jamani mbona mnaumia kiasi hiki,hii ni aibu na sasa mikucha yenu inashindwa kuvumilia kabisa ,kama kweli mnaipenda haki tulipeni deni ,Zanzibar inaidai serikali ya Muungano hela nzuri tu,lipeni hii hela .mengine baadae maana mkiliweza hili basi na mengine tayaweza ,halafu warudisheni Mahsehe makwao.aliewaambia mkae nao si raisi wala waziri tena,wote wamewekwa pembeni wapo kama vizuka wanaona aibu hata kusalimiana na watu.
 
jamani mbona mnaumia kiasi hiki,hii ni aibu na sasa mikucha yenu inashindwa kuvumilia kabisa ,kama kweli mnaipenda haki tulipeni deni ,Zanzibar inaidai serikali ya Muungano hela nzuri tu,lipeni hii hela .mengine baadae maana mkiliweza hili basi na mengine tayaweza ,halafu warudisheni Mahsehe makwao.aliewaambia mkae nao si raisi wala waziri tena,wote wamewekwa pembeni wapo kama vizuka wanaona aibu hata kusalimiana na watu.
Hii ya Zanzibar kuidai JMT ni jambo la kawaida ndani ya nchi yoyote. Hata watumishi wa umma wanaidai serikali ya JMT, TANESCO inaidai ZECO n.k

Mahusiano ya kimataifa ni jambo la serikali ya JMT. NI hatari kwa ustawi wa muungano pale mataifa ya nje yanapoanza 'kuimarisha' uhusiano na sehemu fulani ya nchi.
 
Hii ya Zanzibar kuidai JMT ni jambo la kawaida ndani ya nchi yoyote. Hata watumishi wa umma wanaidai serikali ya JMT, TANESCO inaidai ZECO n.k

Mahusiano ya kimataifa ni jambo la serikali ya JMT. NI hatari kwa ustawi wa muungano pale mataifa ya nje yanapoanza 'kuimarisha' uhusiano na sehemu fulani ya nchi.
iangalie akili yako Usiifananishe Zanzibar na watumishi wa Umma au mahesabu ya Tanesco ,hizo zarau ndizo hizo zilizofanya mambo yafike mbali,Hilo deni la Zanzibar kwa tanzania ni la kimataifa inawezekana kabisa Zanzibar kuishitaki Serikali ya Muungano kwa deni hilo,au hilo nalo hulijui ?

1622960850715.png
Free Zanzibar and mashee wa taasisi iliyosajiliwa rasmi ya UAMSHO.
 
iangalie akili yako Usiifananishe Zanzibar na watumishi wa Umma au mahesabu ya Tanesco ,hizo zarau ndizo hizo zilizofanya mambo yafike mbali,Hilo deni la Zanzibar kwa tanzania ni la kimataifa inawezekana kabisa Zanzibar kuishitaki Serikali ya Muungano kwa deni hilo,au hilo nalo hulijui ?

View attachment 1809966 Free Zanzibar and mashee wa taasisi iliyosajiliwa rasmi ya UAMSHO.
Hilo haliwezekani, huko nje inatambulika JMT pekee. Madeni haya ni mambo ya ndani.
 
Zanzibar iachwe angalao ipumue,kuimeza tumeshashindwa sasa tumuachie Mola atende yake.

Naona Mungu kapanga kuwa sisi ndio tumezwe na tuongozwe na Wazanzibari wenye kumuogopa Mungu.
Na tutamezwa haswaa
 
Usiwe na wasiwasi, kinachoendelea Zanzibar ni sawa kabisa. Muungano wetu ni very unique, kimataifa ni muungano wa union wa nchi moja, rais mmoja wa JMT, na serikali moja. Hivyo mabalozi wote wanajitambulisha kwa rais wa JMT only.

Kwa ndani ya muungano, muungano wetu ni wa federation lenye nchi mbili, marais wawili na serikali mbili. Hivyo balozi zote zinawajibika kuwa na ofisi ndogo Zanzibar.

Na kwa mambo ambayo sio ya muungano, Zanzibar ina haki ya kupata misaada na mikopo ya kimataifa kwa udhamini wa serikali ya JMT. Hivyo whatever taking place over there ni legit
P
Mleta mada soma muongozo huu hapa...
 
Usiwe na wasiwasi, kinachoendelea Zanzibar ni sawa kabisa. Muungano wetu ni very unique, kimataifa ni muungano wa union wa nchi moja, rais mmoja wa JMT, na serikali moja. Hivyo mabalozi wote wanajitambulisha kwa rais wa JMT only.

Kwa ndani ya muungano, muungano wetu ni wa federation lenye nchi mbili, marais wawili na serikali mbili. Hivyo balozi zote zinawajibika kuwa na ofisi ndogo Zanzibar.

Na kwa mambo ambayo sio ya muungano, Zanzibar ina haki ya kupata misaada na mikopo ya kimataifa kwa udhamini wa serikali ya JMT. Hivyo whatever taking place over there ni legit
P
umefinish mkongwe paskali
 
Wanasema mzaha mzaha hutumbua usaha, kwa mujibu wa katiba yetu, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ni jambo la muungano, hii ni pamoja na misaada pamoja na mikopo kutoka nje ya nchi. (Katiba ya JMT ibara ya 4 nyongeza ya kwanza)

Lakini tangu awamu ya sita ya rais wetu Samia Suluhu ishike hatamu, kumekuwa na jambo la kushangaza linaendelea Zanzibar, mabalozi wa nchi mbalimbali hususani za magharibi pamoja na wajumbe wa mashirika ya kimataifa wamekua wakifanya ziara Zanzibar pamoja na kukutana na kufanya vikao na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Mikutano hiyo imekua ikilenga kuongeza ushirikiano baina ya mataifa hayo na Zanzibar. Na baadhi yao wamemwaga ahadi za misaada kwa Zanzibar.

Je, mwenendo huu wa Zanzibar na mataifa hayo ya nje ni sawa? Nini hatima ya muungano wetu?

View attachment 1809931

View attachment 1809932

View attachment 1809933

View attachment 1809934
Tuna muungano wa hovyo sana 'tumeungana kama hatujaungana'
 
Wanasema mzaha mzaha hutumbua usaha, kwa mujibu wa katiba yetu, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ni jambo la muungano, hii ni pamoja na misaada pamoja na mikopo kutoka nje ya nchi. (Katiba ya JMT ibara ya 4 nyongeza ya kwanza)

Lakini tangu awamu ya sita ya rais wetu Samia Suluhu ishike hatamu, kumekuwa na jambo la kushangaza linaendelea Zanzibar, mabalozi wa nchi mbalimbali hususani za magharibi pamoja na wajumbe wa mashirika ya kimataifa wamekua wakifanya ziara Zanzibar pamoja na kukutana na kufanya vikao na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Mikutano hiyo imekua ikilenga kuongeza ushirikiano baina ya mataifa hayo na Zanzibar. Na baadhi yao wamemwaga ahadi za misaada kwa Zanzibar.

Je, mwenendo huu wa Zanzibar na mataifa hayo ya nje ni sawa? Nini hatima ya muungano wetu?

View attachment 1809931

View attachment 1809932

View attachment 1809933

View attachment 1809934
++Donge hilo.

Wanapokuja hapa kusaini mikataba uliwahi kusema kwanini hawajaenda Zanzibar?
 
Haya mambo yapo miaka mingi Sana labda huja pay attention..

Zamani nilikuwa natazama tvz mabalozi wengi Sana walikuwa wanaenda ikulu ya Zanzibar na kujitambulisha kwa Rais wa wakati huo Salmin Amour..
Na Salmin alikuwa anafanya ziara za nchi nyingi Tu bila kuhusisha bara
 
Usiwe na wasiwasi, kinachoendelea Zanzibar ni sawa kabisa. Muungano wetu ni very unique, kimataifa ni muungano wa union wa nchi moja, rais mmoja wa JMT, na serikali moja. Hivyo mabalozi wote wanajitambulisha kwa rais wa JMT only.

Kwa ndani ya muungano, muungano wetu ni wa federation lenye nchi mbili, marais wawili na serikali mbili. Hivyo balozi zote zinawajibika kuwa na ofisi ndogo Zanzibar.

Na kwa mambo ambayo sio ya muungano, Zanzibar ina haki ya kupata misaada na mikopo ya kimataifa kwa udhamini wa serikali ya JMT. Hivyo whatever taking place over there ni legit
P
Soon utasikia serikali tatu
 
Back
Top Bottom