Hao wengine ni wajinga wajinga tu, mradi wapayuke tu.Haya mambo yapo miaka mingi Sana labda huja pay attention..
Zamani nilikuwa natazama tvz mabalozi wengi Sana walikuwa wanaenda ikulu ya Zanzibar na kujitambulisha kwa Rais wa wakati huo Salmin Amour..
Na Salmin alikuwa anafanya ziara za nchi nyingi Tu bila kuhusisha bara
Wakija hapa wakasaini na serikali ya muungano maana yake wamesaini na Tanganyika na Zanzibar.++Donge hilo.
Wanapokuja hapa kusaini mikataba uliwahi kusema kwanini hawajaenda Zanzibar?
Lengo ni tuwe na serikali moja, tutafika tu.Wazanzibari wana-petition hadi UN kutaka mamlaka kamili ya nchi yao, sisi tunaona wanafanya yasiyoendana na tulivyokubaliana tunapiga miayo tu!
Take reciprocal action.
Hakuna ubaya kama misaada hiyo itaisaidia Zanzibar.Zanzibar kuendelea ni jambo jema, lakini kitendo cha mataifa ya nje kujinasibu kuwa yanapanga kuimarisha uhusiano wao na Zanzibar jambo ambalo ni kinyume na katiba ya nchi ni la kushitua.
Kule wakisaini maana yake wamesaini na Serikali ya Zanzibar.Wakija hapa wakasaini na serikali ya muungano maana yake wamesaini na Tanganyika na Zanzibar.
Mahusiano na mataifa ya nje ni jambo la muungano, linapaswa kusimamiwa na serikali ya Muungano.Kule wakisaini maana yake wamesaini na Serikali ya Zanzibar.
Tatizo nini?
Ni kweli, hakuna ubaya wowote kwa Zanzibar kupata misaada, lakini misaada hiyo pamoja mambo mengine kati ya nchi yetu na mataifa ya nje, vinapaswa kupitia / kufanywa na serikali ya muungano.Hakuna ubaya kama misaada hiyo itaisaidia Zanzibar.
Wewe si subiri wakija kwa mambo ya Muungano. Hao hawakuja kuhusi uhusiano wa mambo ya nje wala ya Muungano. Zanzibar ni nchi na ina Rais wake na hayo ni mambo yake ya ndani. Tanganyika ndio haipo.Mahusiano na mataifa ya nje ni jambo la muungano, linapaswa kusimamiwa na serikali ya Muungano.
Naomba unukuu kipengele hicho cha katiba tafadhali.Zanzibar kuendelea ni jambo jema, lakini kitendo cha mataifa ya nje kujinasibu kuwa yanapanga kuimarisha uhusiano wao na Zanzibar jambo ambalo ni kinyume na katiba ya nchi ni la kushitua.
Sawa ulosema.Usiwe na wasiwasi, kinachoendelea Zanzibar ni sawa kabisa. Muungano wetu ni very unique, kimataifa ni muungano wa union wa nchi moja, rais mmoja wa JMT, na serikali moja. Hivyo mabalozi wote wanajitambulisha kwa rais wa JMT only.
Kwa ndani ya muungano, muungano wetu ni wa federation lenye nchi mbili, marais wawili na serikali mbili. Hivyo balozi zote zinawajibika kuwa na ofisi ndogo Zanzibar.
Na kwa mambo ambayo sio ya muungano, Zanzibar ina haki ya kupata misaada na mikopo ya kimataifa kwa udhamini wa serikali ya JMT. Hivyo whatever taking place over there ni legit
P
Tanganyika ipo imejificha chini ya jina la Tanzania.Wewe si subiri wakija kwa mambo ya Muungano. Hao hawakuja kuhusi uhusiano wa mambo ya nje wala ya Muungano. Zanzibar ni nchi na ina Rais wake na hayo ni mambo yake ya ndani. Tanganyika ndio haipo.
Au wewe unajua zaidi ya Hussein Mwinyi na Samia Suluhu?
Umeongea point halafu umepigwa ban! Jf bhana.Zanzibar iachwe angalao ipumue,kuimeza tumeshashindwa sasa tumuachie Mola atende yake.
Naona Mungu kapanga kuwa sisi ndio tumezwe na tuongozwe na Wazanzibari wenye kumuogopa Mungu.