GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Jan 28, 2024 Thread starter #21 Ubena Zomozi said: Kwani wewe una akili sawasawa? Click to expand... Akili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani.
Ubena Zomozi said: Kwani wewe una akili sawasawa? Click to expand... Akili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani.
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Jan 28, 2024 #22 Moderatos nawasihi mrudisheni lupango huyu popoma alokosa busara Ona sasa ameanza kuleta mizozo ya kidini Mpige ban nyingine Sent using Jamii Forums mobile app
Moderatos nawasihi mrudisheni lupango huyu popoma alokosa busara Ona sasa ameanza kuleta mizozo ya kidini Mpige ban nyingine Sent using Jamii Forums mobile app
Ubena Zomozi JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,608 Reaction score 1,286 Jan 29, 2024 #23 GENTAMYCINE said: Akili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani. Click to expand... Wewe ni mchumba tu subiri tulete barua ya posa tukuweke ndani rasmi
GENTAMYCINE said: Akili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani. Click to expand... Wewe ni mchumba tu subiri tulete barua ya posa tukuweke ndani rasmi
bg_dg_dy JF-Expert Member Joined Feb 27, 2009 Posts 606 Reaction score 493 Jan 29, 2024 #24 GENTAMYCINE said: Hopeless. Click to expand... Hoja hujibu kwa hoja
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Jan 29, 2024 #25 Yani nimecheka sanaaaa yani sanaaa... Hapo kwenye "anawapigia kelele na mapepo yake"
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jan 29, 2024 #26 Aondoke huko Ova
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Jan 29, 2024 #27 subiri faiza na mzee mwamedi waanze kuchambua maeneo ya tanu na waislamu
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Jan 29, 2024 #28 biashara ya mwamposa siikubali kabisa. mateka wake wengi ni wanawake.
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Jan 29, 2024 #29 Mamndenyi said: Hawa wanaojiita wahubiri wakubwa hawapendi kuwa na maeneo yao yaani wapo juu juu tu. Huyo ni niguse ninuke maana bahasha huwa zinaelekezwa kwake. Hata huyu msafisha jiji ni mwanakwaya wake. Ngoja tuone. Waalim vipi, ume surrender? Click to expand... Upepigaje hapo
Mamndenyi said: Hawa wanaojiita wahubiri wakubwa hawapendi kuwa na maeneo yao yaani wapo juu juu tu. Huyo ni niguse ninuke maana bahasha huwa zinaelekezwa kwake. Hata huyu msafisha jiji ni mwanakwaya wake. Ngoja tuone. Waalim vipi, ume surrender? Click to expand... Upepigaje hapo