MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Hapo kwenye washirika wake umetia chumvi. Washirika wa Marekani unawajua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya Marekani imemuweka Paulo Makonda kwenye orodha ya Watu hatari duniani, huyu hatakiwi kukanyaga Marekani na nchi washirika wa Marekani.
Anatuhumiwa kuhusika na usitishaji wa Uhai wa binadamu wengine nchini Tanzania, Kwa tafsiri rahisi, kusitisha Uhai wa watu wengine ni kuwaua, kwamba Makonda hatakiwi kuingia Marekani na Nchi Washirika kwa vile ni Muuaji, ikumbukwe kwamba USA haijawahi kumsingizia mtu tuhuma kama hizi, hii ina maana kwamba wana ushahidi wa kutosha.
Sasa swali letu ni hili, baada ya ccm kumpa cheo mtuhumiwa wa mauaji Makonda, uhusiano wake na Marekani utaendelea?
Kwani Yuko Serikalini? Si Yuko kwenye Uongozi wa Chama?Serikali ya Marekani imemuweka Paulo Makonda kwenye orodha ya Watu hatari duniani, huyu hatakiwi kukanyaga Marekani na nchi washirika wa Marekani.
Anatuhumiwa kuhusika na usitishaji wa Uhai wa binadamu wengine nchini Tanzania, Kwa tafsiri rahisi, kusitisha Uhai wa watu wengine ni kuwaua, kwamba Makonda hatakiwi kuingia Marekani na Nchi Washirika kwa vile ni Muuaji, ikumbukwe kwamba USA haijawahi kumsingizia mtu tuhuma kama hizi, hii ina maana kwamba wana ushahidi wa kutosha.
Sasa swali letu ni hili, baada ya ccm kumpa cheo mtuhumiwa wa mauaji Makonda, uhusiano wake na Marekani utaendelea?
Allah Akbar !!
Jua pia Marekani wasipokuwa na maslahi makubwa ya kimkakati katika nchi yako basi jiandae kudhibitiwa katika mambo ya “kimaadili” - hususan haki za binadamu na demorasia.Marekani ukiingilia maslahi yao ndipo utakapojua kuwa hujui !!
Lakini hayo mengine kwao huwa ni porojo za kisiasa tu !
wewe uijui US kule siyo kama apa kuwa kila Mtu anakuja na la kwake..kule ni muendelezo tu mwambieni ajaribu kwenda japo ubalozini kama ataingia ata ndani..Hapo kwenye washirika wake umetia chumvi. Washirika wa Marekani unawajua?
Wataweza?Serikali ya Marekani imemuweka Paulo Makonda kwenye orodha ya Watu hatari duniani, huyu hatakiwi kukanyaga Marekani na nchi washirika wa Marekani.
Anatuhumiwa kuhusika na usitishaji wa Uhai wa binadamu wengine nchini Tanzania, Kwa tafsiri rahisi, kusitisha Uhai wa watu wengine ni kuwaua, kwamba Makonda hatakiwi kuingia Marekani na Nchi Washirika kwa vile ni Muuaji, ikumbukwe kwamba USA haijawahi kumsingizia mtu tuhuma kama hizi, hii ina maana kwamba wana ushahidi wa kutosha.
Sasa swali letu ni hili, baada ya ccm kumpa cheo mtuhumiwa wa mauaji Makonda, uhusiano wake na Marekani utaendelea?
Wataweza tuWataweza?
Kumbe ulimuona Ben Sanane kauwawa na umeshindwa kutoa ushahidi mahakamaniDamu za watu zitaendelea kumshtakia muuja Makonda maisha yake yote.
Pumzika kwa amani Ben Sanane. Muuaji wako japo amepewa cheo na CCM, lakini hukumu yake hataikwepa, yeye na wenzi wake katika uovu. Laana juu yake na kizazi chake itembee naye daima.
Kesi hiyo iko mahakama gani ?Kumbe ulimuona Ben Sanane kauwawa na umeshindwa kutoa ushahidi mahakamani
Wadanganye wajinga mno !Hapa msipende ku exaggerate mambo,makonda alipewa adhabu na Marekani ya kupigwa ban ya kwenda huko,kwa kosa la kutaka kuwakamata mashoga wote wliopo katika jiji la Dar wakati huo,hakutuhumiwa uuaji.
Msikariri usemi huo, hio ni katika nyanja zingine sio katika makosa yahusuyo uhalifu wa Kavita, mauaji na ugaidi.Ikumbukwe kuwa Marekani haina adui ama rafiki wa kudumu, huangalia maslahi yake tu kwa wakati husika
View attachment 2789692
Hii imeenda hii! Kuna hali fulani kibinadamu ikifika mtu hasiki la muazini au muomba dua!
Kama chama tawala mahusiano yapoKwani Yuko Serikalini? Si Yuko kwenye Uongozi wa Chama?