Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?

Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Maridhiano ya Mbowe na Ikulu yana jambo ambalo wengi ulibeza Ila yamesaidia sana CCM kutawala kwa ujanja tena bila kufuata sheria na taratibu kadhaa Kama Katiba inavyotamka!

Na kuna swali “Je kutolewa mbowe Gerezani wakati ushindi wa Kesi ulikuwa unaelekea kuwa kwa upande wake waka m time atolewe apelekwe Ikulu ili awasaidie baadhi ya mambo watawala kimataifa na kitaifa”?

Je Yawezekana ni TISS ambaye yupo upinzani ku monitor mienendo ya upinzani wa kweli ?

Je Yawezekana tukaja kugundua wakati tushachelewa, kwamba tunatibu kirusi Kingine kumbe kirusi ni kingine ?

Soma pia


Na


Britanicca
 
CDM wako kwenye wakati mgumu sana na nia ya ccm ni kuimaliza kabisa chadema isiwepo au ivurugike kwenye masuala ya kisiasa ofco ile nguvu ya upinzan imepungua sema strategies za ccm za kuua upinzan kwa sera za kwa sasa ni ngumu mno ndo mana nunua nunua ZA TOP INFLUENCERS WA CDM WENYE power km alizotumia mzee wa madaraja wanaziendeleza
 
Tamka tu kuwa Mbowe ndiye kirusi ndani ya chadema
 
Viongozi wengi wa kitaifa wa CHADEMA karibu robo tatu, ni TISS
Kwa faida ya nani, tiss hiyo ndio kazi yao..? Mbinu za kijinga zilizopitwa na wakati, dawa yao ipo Mungu hajawahi kushindwa!
 
..Magufuli alitumia nguvu dhidi ya Chadema.

..Mama Abduli akaanza kutumia fedha dhidi yao.

..Sasa inaelekea fedha zimeshindwa kufanya kazi, kaamua kuiga mabavu ya Magufuli.
 
..Magufuli alitumia nguvu dhidi ya Chadema.

..Mama Abduli akaanza kutumia fedha dhidi yao.

..Sasa inaelekea fedha zimeshindwa kufanya kazi, kaamua kuiga mabavu ya Magufuli.
Kwa sasa ni Pesa
 
Maridhiano ya Mbowe na Ikulu yana jambo ambalo wengi ulibeza Ila yamesaidia sana CCM kutawala kwa ujanja tena bila kufuata sheria na taratibu kadhaa Kama Katiba inavyotamka!

Na kuna swali “Je kutolewa mbowe Gerezani wakati ushindi wa Kesi ulikuwa unaelekea kuwa kwa upande wake waka m time atolewe apelekwe Ikulu ili awasaidie baadhi ya mambo watawala kimataifa na kitaifa”?

Je Yawezekana ni TISS ambaye yupo upinzani ku monitor mienendo ya upinzani wa kweli ?

Je Yawezekana tukaja kugundua wakati tushachelewa, kwamba tunatibu kirusi Kingine kumbe kirusi ni kingine ?

Soma pia


Na


Britanicca
Whatever the case, walichofanyia viongozi wa Chadema sio Sawa. Wale si wahuni ni viongozi.
 
Back
Top Bottom