Je, mashine ya kunyolea inaweza kuambukiza VVU?

Mi nlishakatwa Sana Na Mashne Lakn Npo OK ila saiz Nikienda Salon Jambo la Kwanza Ni Kusafisha zile Nyembe Kwa Sprit nkiwa Naona.
 
Hakika kulingana na matumizi yake Yaani kama SOP inafuatwa (standard operating procedure) ma vitu vyote vyenye ncha kali!
 
Nmekatwa nikiwa nanyolewa nmestuka kidogo maana mashine inatumiwa na watu tofuaut tofuauti.

Exalio.
Usalama wa hivi vifaa ni mdogo sana hasa huku uchochoroni.... Kukatwa hili hutokea pale wanapoanza kuchonga but, kiuhalisia unakuwa kwenye hatari pia ya maambukizi kwamaana hakuna sterility ya kifaa chenyewe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…