avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Hiyo hakuna kabisa na Mungu sijui aliliangaliaje hili maana wanaume karibia wote Tanzania tungeshaa futika maana kila nikinyoa zile mashine tena za uswahilini nikiwekewa spirity maumivu yake sio ya nchi hii kitu ambacho kinaonyesha nimejeruhiwa na mashine hizo lakini niko powa kabisa .