Kitu chochote kinaweza kubeba ukimwi km kitaweza kubeba virusi na kuviingiza ktk damu ya MTU mwingine,Nmekatwa nikiwa nanyolewa nmestuka kidogo maana mashine inatumiwa na watu tofuaut tofuauti.
Exalio.
Mkuu kama haufahamu, bora uvunge spirit haizuii maambukizo. Bali ni mashine ya sterilizer Ambayo kila ukienda saloon kubwa lazima uikute, haishauriwi kupaka spirit baada ya kunyoa.baada ya kukatwa jee ulipaka sprit, kama jibu ni ndio basi usiwe na shaka au kama mashine ya kunyolewa kabla ya kukunyoa kama ilipakwa sprit kaa relax hakuna shida
How ?baada ya kukatwa jee ulipaka sprit, kama jibu ni ndio basi usiwe na shaka au kama mashine ya kunyolewa kabla ya kukunyoa kama ilipakwa sprit kaa relax hakuna shida
Tuanzie hapo kwanza
Sasa hapa unataka kupandikiza vicheko au kufurahisha watu?Nmepaka poda
Naona umetoa na saitesheni kabisaNi ngumu kupata,kwanza kutokana na ule mtetemo wa mashine within a five sec vinakufa baada mashine kuwashwa havina uwezo wa kuhimili lile joto la mashine.(Mwalimu wangu wa physics, 2007)
Hakika JF never boringSasa hapa unataka kupandikiza vicheko au kufurahisha watu?
Yaani unachinjwa kichwa damu inatoka alafu unapaka poda! [emoji23][emoji23]π
Surely and i never saw/heard like that happened to that man.Hakika JF never boring