Je, Matrafiki huwa wanayajuaje kwa haraka Magari ya Taasisi ' Nyeti ' nchini na hawayakamati na kuyaruhusu tu yapite hata kama labda yana Makosa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Binafsi huwa natamani mno Kuyajua Magari yao nikiwa njiani ( natembea kwa Miguu ) lakini sijaweza kuyajua ila nimeambiwa Matrafiki wote huwa wanayajua Kiurahisi sana tu hata kama yako mbali au yakisimama ana kwa Kuyaangalia au kwa Kumhoji Dereva ( Mwendeshaji wake )

Ninataka kuyajua ili niwe naomba Lifti.
 
Siri za Jeshi Mkuu,Mambo Mengine Tuyaache Kwa Taasisi Husika.

Tusiyaweke Uchi Majeshi Yetu Tukampa Adui Nafasi Ya Kutujua.
 
kwanza mengi yanakuwa na more than one plate no, hii unaangalia tu kwa side mirror utaona tu kuna namba ya serikali halfu huku kwengine wamewela kawaida private, plate na za kioo hazifanani, pia wengine walivyo vaa ndani, taa wanavyowasha wakimkuta askari barabarani, taa za mbele, ving"ora, mazungumzo nk wewe jiongeze ukiwa road hata ww unaweza fanya maneuver sema uwe hata umepita jeshini kidogooo itakusaidia
 
Siyo kweli. wanabahatisha tu. wengine wanasimashwa na wanasimama na wengine hawasimani
 
zile mavurugu sasahivi kidogo zimepoa!!
zile za nipishe nipite...
tuliokuwa tunatumia barabara tuliteseka sana maana sio kuchmekewa kibabe vile!
kama una hasira na bastola ndani unaweza kumkatakata nayo mtu akaenda zake.
 
Trafic anakaa barabarani mwaka mzima.

Anakutana na magari ya kila aina na watu wa kila aina.

Ni rahisi sana kujua status ya mtu kwa jinsi unavyomuhoji maswali na aina ya usafiri anaoutumia.
 
Siyo kweli. wanabahatisha tu. wengine wanasimashwa na wanasimama na wengine hawasimani
Nakubaliana nawe, nilishuhudia siku moja pale Ruvu karibu na Pub ya JKT, walisimanisha LC moja nyeupe, yule dereva akasimama kwa mbali kidogo toka walipokuwepo hao askari, alipowafuata wakamwonyesha kitu kidogo cheusi akawaruhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…