Hio gari ni nzuri aisee, very comfortable hata kwa safari ndefu. Kwa wale tusio na uwezo na ma VX V8 ni mahala salama pa kupunguzia machungu. Crown ukijua kuiendesha haikutesi wala nini. Wanaoumia ni wageni wa magari😂Baada ya kupitia mijadala mingi kuhusiana na huu mkoko nimeamua kwa dhati kabisa kujitosa kuuagiza used kutoka japan huenda muda mwingine uoga wetu tu unatufanya kushindwa kuwa na vitu vizuri.
Unajua madalali hawana information kamili wanajazana ujinga kwa hearsays za vijiweni kisha wanawasokota sana wanunuzi hahah utaskia inakula mafuta sana hio chukua yenye 4 cylinder. Kumbe hawajui kinachobwia mafuta sio idadi ya Cylinder ni ukubwa wa cylinder. Zinaweza zikawa 4 ila ni mizinga ya cylinder😂😂😂huwa nacheka nikikuta post za madalali wa bongo wanauza tezza alafu wanaandika engine ndogo 4 cylinder yani haili mafuta wangejua ile 6 ndio ipo economy kuliko hyo 4
na ukiwa huna elimu nayo unaingia mkenge unaacha 1g unavagaa 3sge ukijua hii yenye 4 ina unafuu
Ngoja nijilipue mkuu japo ndo itakua gari yangu ya kwanza ila nimefanya research na nimejiridhisha nimetoa uoga, maana nilikua na chaguo la Mark x kablaHio gari ni nzuri aisee, very comfortable hata kwa safari ndefu. Kwa wale tusio na uwezo na ma VX V8 ni mahala salama pa kupunguzia machungu. Crown ukijua kuiendesha haikutesi wala nini. Wanaoumia ni wageni wa magari[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua madalali hawana information kamili wanajazana ujinga kwa hearsays za vijiweni kisha wanawasokota sana wanunuzi hahah utaskia inakula mafuta sana hio chukua yenye 4 cylinder. Kumbe hawajui kinachobwia mafuta sio idadi ya Cylinder ni ukubwa wa cylinder. Zinaweza zikawa 4 ila ni mizinga ya cylinder[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa sio mjanja wanakutia mkenge!
Its actually the same car but Crown iko na cosmetics zaidi. They share the same wheelbase, same engine ya 2.5L 4GR-FSE ila kwa CROWN imekuwa nyepesi zaidi. Ukitaka ma speed ipo vizuri sana ila pia ni gari ya heshima zaidi kuliko Mark X.Ngoja nijilipue mkuu japo ndo itakua gari yangu ya kwanza ila nimefanya research na nimejiridhisha nimetoa uoga, maana nilikua na chaguo la Mark x kabla
ni chaguo zuri... hata mark X pia ni chaguo zuriNgoja nijilipue mkuu japo ndo itakua gari yangu ya kwanza ila nimefanya research na nimejiridhisha nimetoa uoga, maana nilikua na chaguo la Mark x kabla
Kabisa kwenye heshima ndicho kilichonivutia piaIts actually the same car but Crown iko na cosmetics zaidi. They share the same wheelbase, same engine ya 2.5L 4GR-FSE ila kwa CROWN imekuwa nyepesi zaidi. Ukitaka ma speed ipo vizuri sana ila pia ni gari ya heshima zaidi kuliko Mark X.
[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye mbio hapo mie ni muoga mzee nadhani nikitembea sana 120. Thanx kwa experience yako mzee.ni chaguo zuri... hata mark X pia ni chaguo zuri
zinatumia same engine sema mark X imepitwa sehemu moja na crown...
safi sana mkuu ....na mbio sio nzuri na wala sikushauri sema tu ndio hivyo sisi wengine tulishakuwa maspeed adict[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye mbio hapo mie ni muoga mzee nadhani nikitembea sana 120 .
Thanx kwa experience yako mzee
Pia mie siichukui kwa ajili ya safari ndefu ni mizunguko yangu tu na kwenda job basi hizo safari itokee mara moja moja tu
Shukrani mkuusafi sana mkuu ....na mbio sio nzuri na wala sikushauri sema tu ndio hivyo sisi wengine tulishakuwa maspeed adict
kwa hayo matumizi yako utadumu nayo sanaaa
Nafikiri alifaa aombe apewe ujuzi kuhusu hilo gari kwanza. Hii comment yako natumaini itampa mwangaza.ungekuwa specific kidogo
hyo crown athlete inatumia engine gani kati ya hizi mbili
1- 2.5 V6 4GR-FSE
2- 3.0 V6 3GR-FSE
nitaelezea hyo engine ya kwanza maana nimeshawahi kuitumia kwenye mark X
inakula mafuta sanaaa kama ukiwa ni mtu wa flat foot na inakula mafuta vizuri ukilinganisha na displacement yake kama ukiwa unaendesha gari kiustaarabu
- ukiwa unaendesha gari kiustaarabu pasipo kuflow fuel pedal na ukawa unarange kwenye rpm 1500 -2200 basi utapata fuel consumption nzuri tu ya up to 9-10 km per litre
- ukiwa ni mtu wa kuflat foot ili uenjoy ile pulling ya 210 bhp rear wheel drive yani ww ukiingia road unakanyaga pedal ya mafuta sec 4 upo 80kph rpm inaenda hadi 3000 ndugu yangu hapo inabidi mfuko uwe vizur sababu you are likely to get 5-7 km per litre which is very bad kwa uchumi wako na hata mazingira yetu
ushauri kama unamiliki crown na unataka isikuumize mafuta basi iendeshe kistaarabu yani usiiforce ikimbia pasipo sababu za msingi kwan engine itarun kwenye rpm za juu na kupelekea kula mafuta mengi
just let it accelarate naturaly and run the engine at lower rpm 1800- 2200 rpm to get economic fuel consumption
Mkuu umegonga kwenye mistari kabisaMzee baba we kama unahela na gari umelipenda jilipue tu...
Usitegemee kupata consumption nzuri kwenye hiyo gari hasa kwa safari za mjini....kumbuka ni gari ya starehe na injini zake ni za lita 2.5 mpka lita 3.5 six cylinders.
Huo ndiyo ukweli wengine woote watakudanganya ooh haili mafuta...
Kumbuka hiyo gari ina injini kubwa...kama kipato chako ni kidogo haitakuwa gari rafiki kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mbona haya ni mafuta ya V8 kutoka Dar hadi Arusha mkuuWeka 200,000.00 unaingia mjini...
ha ha haUsimtese kilaza wa hisabati huyo. Wakati topic ya makadirio inafundishwa alikuwa amechill toilet!
Hahaha kuna jamaa yangu mmoja yeye ukimpa gari hua anasikia raha rpm akiifikia kwenye 3 yani nikiwaga nae nashangaaga sana aisee anapenda kuifanya gari ina scream yani yeye rpm inacheza 2300-3300 halafu gari auto yani naona hapa wese nililotia gari inachomwa vibaya..ila nilicho notice ni mfano ukiwa unakanyaga sana mafuta gia hua zinavuta sana ila ukiwa unakanyaga pole pole gia zonajibadili kiurahisi sanaWewe sasa ndio umeongea kitaalamu na kwa uzoefu. Kimsingi 4GR-FSE (Crown na Mark X) ni engine iliokuja ku replace 1JZ japo haiifikii kwa pulling ila imefanyiwa modification isile sana mafuta hata katika uendeshaji wa kawaida tu tofauti na ulaji wa 1JZ engine ilioko kwenye Brevis...
Ile Altezza ya 3S ina 220HP mkuuChukua Altezza yenye 6 Cylinder 1g-fe Beams (155hp) inakula wese kwa pozi na haitumii nguvu sana kupata mwendo kuliko ile ya 4 Cylinder 3s-Ge beams(187hp) ambayo inakamua zaidi wese unapotaka isogee kiuhakika.
Wabongo watakuja kushangaa kwanini nimekwambia chukua 6 ila ni maswala ya phyisics na uzoefu.
sina hata baskeli ila maelezo yako nimeyapenda yaani nimeona kama nimenunua gari jinsi nilivyosoma comment yako mzeeungekuwa specific kidogo
hyo crown athlete inatumia engine gani kati ya hizi mbili
1- 2.5 V6 4GR-FSE
2- 3.0 V6 3GR-FSE...
Eh ukilazimisha mzunguko mkubwa gia zinachelewa ku engage!Hahaha kuna jamaa yangu mmoja yeye ukimpa gari hua anasikia raha rpm akiifikia kwenye 3 yani nikiwaga nae nashangaaga sana aisee anapenda kuifanya gari ina scream yani yeye rpm inacheza 2300-3300 halafu gari auto yani naona hapa wese nililotia gari inachomwa vibaya..ila nilicho notice ni mfano ukiwa unakanyaga sana mafuta gia hua zinavuta sana ila ukiwa unakanyaga pole pole gia zonajibadili kiurahisi sana
Weka 200,000.00 unaingia mjini...