Habari za asbh wataalamu wangu wa mambo ya kisayansi.
Bila kupoteza muda naoma kuweka mada yangu(swali langu) kwenu, liko hivi:
-Kama baba ni mchezaji wa mpira wa miguu namba kumi na moja(11) kwa sifa yake ya kutumia mguu wa KUSHOTO. Mwanae pia anatumia mguu wa KUSHOTO kama babake. Je kuna uhusiano akawa mwanae kweli?? Kwa hyo sifa ya mtoto kurithi mguu wa babake???
-Apart from DNA je matumizi ya kufanana ya miguu inaweza kuprove kwamba mtoto yule ni baba yule wanayefananisha miguu ya kushoto???
Bila kupoteza muda naoma kuweka mada yangu(swali langu) kwenu, liko hivi:
-Kama baba ni mchezaji wa mpira wa miguu namba kumi na moja(11) kwa sifa yake ya kutumia mguu wa KUSHOTO. Mwanae pia anatumia mguu wa KUSHOTO kama babake. Je kuna uhusiano akawa mwanae kweli?? Kwa hyo sifa ya mtoto kurithi mguu wa babake???
-Apart from DNA je matumizi ya kufanana ya miguu inaweza kuprove kwamba mtoto yule ni baba yule wanayefananisha miguu ya kushoto???