Watu theory ya kupungua hawaijui...
Ukitaka kupungua.. kata vyakula vyte vya wanga.. na sukari..
Ila kula vyakula vya protini na mboga mboga na mtunda.
Piga nyama kwa sana. Mayai. Yaan inshort kandaamiza nyama kama unaweza hata kila siku hunenep ngoo.. mchaw wa kunnenepesha ni mavyakula ya wanga.. ma mafuta. Kama unaweza kula nyama Isizo mafuta bas itafanikiwa
Wachina wanaongoza kwa kula nyama dunian na mboga mboga na hawal kabisa mafuta. .. si unawaona walivyo fit
Sent using
Jamii Forums mobile app