Wenye kisukari Wana sukari yao, diet nikupunguza kula sana yaani position ya chakula na siyo kupunguza makundi ya vyakula, wale wanaotumia protein nyingi kwa muda Fulani ni body builder maana protein inajenga mwili Sasa ukitaka nyama zihamie sehemu flani ndo unatumia protein huku ukizifanyia mazoezi zihamie hiyo sehemu ila Kuna protein nyingi Kila sehemu Kuna protein yake mfano protein ya kujenga nyama siyo protein ya kuzipa afya nywele.Huo mchanganuo hata wenye sukari inawafaa waufuate
Unene ni tumbo lililotanuka Sasa sijui utapunguaje kama tumbo lilishatanuka, ndo maana tunashauri ukinenepa punguza chakula na siyo kula kundi moja la chakula, wewe kula mayai yako hayo ila siyo Kila siku , kula makundi yote ya vyakula kwa kiasi kidogo kama utaweza kulizuia tumbo lako likishapata breakfast kiasi basi lisile hovyo hovyo tena mpaka chakula cha mchana na baada ya hapo chakula cha usiku kiasi, Sasa hapo unaona kiasi kwa Kila mlo na tumbo linabaki bila kuvimbiwa hata bia usivimbiwe maana ni wanga kama vyakula vingine, Sasa umesema diet, diet maana yake ni kula kwa afya yaani chakula cha makundi kiasi na chenye afya na siyo kuacha chumvi kabisa, kula chumvi kawaida ila acha sodium kama ajinamoto, sukari kiasi kama ukitumia Asubuhi basi vyakula vinavyofata unatumia bila sukari, chakula chako kiwe cha kupika mwenyewe Ili kuzingatia upishi wake mfano migahawa mingi Ili kuvutia wateja wanatumia ajinamoto Ili kufanya chakula kitamu, au kuivisha maharage na chakula haraka kwa baking powder na mara hamira kitu kinachofanya chakula kiondoke ubora wa afya na kipanue utumbo yaani unakula kupita kiasi na chakula hakikujengi kiafya unafutuka, ndo maana upike mwenyewe na uwe unanunua vitu vya afya, hiyo protein unayotaka ikufanye kupungua tumia butter siyo blueband, na jibini au cheese Ili kufanya wanga usilete shida ya obesity.Habari wadau
Ndugu yenu nipo kwenye diet ili nipunguze unene sasa kwa mujibu wa watu ili nikonde wameniambia inabid nisle vyakula vya mafuta, chumvi, sukari, protini na wanga yani vitu km karanga, soda, biskuti, chocolate nk siwez kuiviorodhesha vyote apo ili mradi kisiwe na ingridient ya vitu tajwa apo juu na badala yake nile vitu kam matunda maji nk
sasa naomba kuuliza maziwa fresh au mtind nisipoweka sukar yananenepesha?
Je, mayai ya kuchemsha nisipoweka chumvi yananenepesha?
Hivyo vyote havina shida ukila kwa kiasi, labda maziwa fresh tu ndo ukishakuwa mtu mzima unatakiwa kula maziwa yaliyogoshiwa au kuchakatwa kama mtindi, butter ya maziwa na jibini ndo vinavyoweza kuchakatwa kwa mwili wa mtu mzima na kusaidia kuchakata wanga ndo maana nchi za wenzetu hutumia sana butter kupikia na miili yao ipo vizuri labda wale wenye kipato cha chini wasioweza kutumia na wale wanaopenda kula kupita kiasi yaani kikitokea chakula kitamu anakula mpaka hahemi na tumbo linatanuka kiasi cha kudai chakula kingi muda wote.Karanga zina mafuta vitu km kashata ndio kabisa kuna sukar ba karanga ivo kwenye karanga bro umezingua ila apo kwenye mayai ya kuchemsha mmh na maziwa kizungumkuti
Huyu alishatanuka utumbo, hapo mpe chakula kiasi kama hajaenda kulia pembeni.Mwana Simba baada ya kula Mayai ya kuchemsha[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2375434
Huyu alishatanuka utumbo, hapo mpe chakula kiasi kama hajaenda kulia pembeni.Mwana Simba baada ya kula Mayai ya kuchemsha[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2375434
Siyo protein zote hasa protein ya mayai na nyama ya mafuta kupita kiasi lazima nyama ziongezeke.Protein ni nzuri kwa ajili ya mifupa na misuli. Na pia digestion yake ni slow compared to carbohydrates. Ndio maana watu wanaotaka kushusha uzito wanashauriwa kula proteins kwa wingi kwa sababu kwanza ni building blocks, pili, wanakaa muda mref bila kuskia njaa na tatu hazileti mwili kujaa
Habari wadau
Ndugu yenu nipo kwenye diet ili nipunguze unene sasa kwa mujibu wa watu ili nikonde wameniambia inabid nisle vyakula vya mafuta, chumvi, sukari, protini na wanga yani vitu km karanga, soda, biskuti, chocolate nk siwez kuiviorodhesha vyote apo ili mradi kisiwe na ingridient ya vitu ta
Kwanza hongera kwa kufanya Diet. Ila pia Diet yako inafaa ifuate ushauri wa wataalamu, sio watu kama ulivyo sema. Kwa ufupi sana, ikiwa unataka kupunguza unene, basi fikiria namna ya kupunguza matumizi ya vyakula vyenye calories nyingi na ujihusishe sana na activities zenye kutumia calories maana calories ndo chanzo cha unene wako"Habari wadau
Ndugu yenu nipo kwenye diet ili nipunguze unene sasa kwa mujibu wa watu ili nikonde wameniambia inabid nisle vyakula vya mafuta, chumvi, sukari, protini na wanga yani vitu km karanga, soda, biskuti, chocolate nk siwez kuiviorodhesha vyote apo ili mradi kisiwe na ingridient ya vitu tajwa apo juu na badala yake nile vitu kam matunda maji nk
sasa naomba kuuliza maziwa fresh au mtind nisipoweka sukar yananenepesha?
Je, mayai ya kuchemsha nisipoweka chumvi yananenepesha?
Mkuu hebu nikusaidie ushauri maana mimi nilikuwa mnene ila nilifanikiwa kwa njia ya mtindi plain ambao ni low fat na punje 5 hadi 7 za vitunguu swaumu
Una kilo ngapi kwa sasa na una urefu wa sm ngapi?
Watu theory ya kupungua hawaijui...
Ukitaka kupungua.. kata vyakula vyte vya wanga.. na sukari..
Ila kula vyakula vya protini na mboga mboga na mtunda.
Piga nyama kwa sana. Mayai. Yaan inshort kandaamiza nyama kama unaweza hata kila siku hunenep ngoo.. mchaw wa kunnenepesha ni mavyakula ya wanga.. ma mafuta. Kama unaweza kula nyama Isizo mafuta bas itafanikiwa
Wachina wanaongoza kwa kula nyama dunian na mboga mboga na hawal kabisa mafuta. .. si unawaona walivyo fit
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi....nilikua na kg 98 now nina kg 80...nimeacha vyakula vya wanga na sukari...natumia matunda,mboga za majani,protin na ninakunywa maji ya kutosha kwa muda wa miezi mitatu...sasa nataka usipungue tenaKinachonenepesha Kwa haraka ni vyakula vya Wanga.
Protein sio Sana.
Maziwa, nyama, Samaki, maziwa havinenepeshi kwa haraka.
Wanga ndio inanenepesha Kwa haraka.
Wali, ugali, mihogo, ngano,
Bia na Aina zote za pombe zinazozalishwa na ngano pamoja na nafaka
Mafuta halisi ya kwenye nyama hayana shidaNyama haina mafuta?
Mafuta halisi ya kwenye nyama hayana shida
ugali unanenepesha aisee hii si ni sqwq na kusema mahind yananenepesha fafanua mkuu ugali umeingiaje apo
Kwa hiyo kula ya kuchemsha tu
NdioKwa hiyo kula ya kuchemsha tu
Kabisa...unajilia samaki mchemsho jion unalalia matango unapungua bila kukongoroka!achana nae anazungumza vitu impossible eti ukae siku mbilitatu bila kula utasema umepotea jangwan afu then unywe maji tu lazima utapike si tunataka kukonda kwa raha na sio mateso unakunuwa chai yko na asali baadae unakula matunda unakunywa maziwa unakonda safi kabisa tena afya inaimarika
samaki wana mafuta mkuu fish oilKabisa...unajilia samaki mchemsho jion unalalia matango unapungua bila kukongoroka!
Huwezi wewe. Wenzio tumefanya sana.achana nae anazungumza vitu impossible eti ukae siku mbilitatu bila kula utasema umepotea jangwan afu then unywe maji tu lazima utapike si tunataka kukonda kwa raha na sio mateso unakunuwa chai yko na asali baadae unakula matunda unakunywa maziwa unakonda safi kabisa tena afya inaimarika
Yote kasoro parachichi na tango ndiyo yana 0 carbohydratesmatinda gan yana sukari miwa au ?