Je mazoezi haya nayofanya hayawezi kuniletea madhara kiafya?

Je mazoezi haya nayofanya hayawezi kuniletea madhara kiafya?

Angalia na umri wako, miaka inaenda. Mazoezi/six pack hayatakusaidia chochote. Miaka hiyo kumi ungekuwa serious na kusimamia mradi wako wowote ungekuwa uko mbali. Mambo ya mazoezi ni mambo ya ujana na utoto. Pambana uwe na vitu vyako ili uweze kuwa na familia bora. Kama hutaki endelea tu kupoteza muda kwenye ma-gym.
Mazoezi hayana umri we mzee!, unafanya mazoezi kulingana na umri wako! familia na miradi itasimamiwa vyema na mwili ulio timamu....
 
Angalia na umri wako, miaka inaenda. Mazoezi/six pack hayatakusaidia chochote. Miaka hiyo kumi ungekuwa serious na kusimamia mradi wako wowote ungekuwa uko mbali. Mambo ya mazoezi ni mambo ya ujana na utoto. Pambana uwe na vitu vyako ili uweze kuwa na familia bora. Kama hutaki endelea tu kupoteza muda kwenye ma-gym.
We huna akili,
Mimi nna 45yrs, vyote nnavyo japo sio tajiri,

Au we unanifahamu!!?
 
Mwenye video ya kuskwati atupie humu maana kuna vitu vinaendelea huko masandawaneni watu wanatunisha tuu kalioz...
 
Punguza weight ili uwe unaenda reps nyingi kwa light weight...! Ukizoea kubeba uzito mkubwa sana baadae utapata matatizo ya joints
 
Fanya kwa kiasi pia zingatia mlo kamili na maji mengi !! Kwa miaka kumi wewe ni mzoefu na mwili ulishakaa tayari !

Mbaya ni ile wanaoanza kwa kupiga weight wakati mtu hajawahi kunyanyua hata kg 2 tu wanajikuta wanafanya kupita kiwango chao mwisho wa siku ni maumivu makali pia inaweza kudemage figo !
 
unaumiza magoti na uti wa mgongo.

nakushauri squat beba uzito mdogo angalau 50kg au chini zaidi tena maramoja moja siku zingine piga squat bila kubeba uzito.
 
Mimi nafanya walking ya 20-25 km nakula mara 2 kwa siku basi
 
Kimo chako na uzito wako naona kama haviendani,utajisababishia magonjwa, BMI yako iko juu means upo na obesity,punguza kula bro[emoji16]
160 kwa 80 amegawa wastani kwa idadi ya kilo zake.
 
Back
Top Bottom