johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa kawaida tumezoea kuwaona Wabunge na madiwani wa CHADEMA wakitoka mbele haraka haraka kutoa taarifa pindi wanapohisi kuna ufisadi kwenye maeneo yao.
Kwa mfano Devotha Minja wa Morogoro aliweka wazi ufisadi uliokuwa unafanywa kwenye ujenzi wa stendi ya msamvu wakati Rais Magufuli alipotembelea stendi hiyo.
Upendo Peneza alikuwa ni mbunge wa viti maalumu mkoa wa Geita na alikuwa diwani wa Geita kwa nafasi yake kama akina Msukuma na Kinyasu. Na wakati baraza la madiwani linapitisha ununuzi wa VX la DED kwa tsh 460,000,000.00 Upendo alikuwa barazani.
Je, kamanda huyu wa CHADEMA asiyekuwemo kule COVID-19 hakunusa ufisadi huu?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mfano Devotha Minja wa Morogoro aliweka wazi ufisadi uliokuwa unafanywa kwenye ujenzi wa stendi ya msamvu wakati Rais Magufuli alipotembelea stendi hiyo.
Upendo Peneza alikuwa ni mbunge wa viti maalumu mkoa wa Geita na alikuwa diwani wa Geita kwa nafasi yake kama akina Msukuma na Kinyasu. Na wakati baraza la madiwani linapitisha ununuzi wa VX la DED kwa tsh 460,000,000.00 Upendo alikuwa barazani.
Je, kamanda huyu wa CHADEMA asiyekuwemo kule COVID-19 hakunusa ufisadi huu?
Maendeleo hayana vyama!