Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajuaje kama ni Tusi wakati hujalitaja?Leo nimebahatika kusikiliza maojiano kati ya gift macha na benjamini wa prison (captain) kuna tusi amelitaja natumaini sheria na taratibu zitafuatwa nawasilisha wana jamvi
Mimi namlaumu Gift, kuna wachezaji wengine wasio na mihemko ambao wangeweza kutoa maoni na kusilisha malalamiko kama yapo kwa lugha ya kimichezo na si hamaki na hasira kama huyu.Leo nimebahatika kusikiliza maojiano kati ya gift macha na benjamini wa prison (captain) kuna tusi amelitaja natumaini sheria na taratibu zitafuatwa nawasilisha wana jamvi
Captain ndiyo msemaji wa club kwenye mchezo husika baada ya mchezoMimi namlaumu Gift, kuna wachezaji wengine wasio na mihemko ambao wangeweza kutoa maoni na kusilisha malalamiko kama yapo kwa lugha ya kimichezo na si hamaki na hasira kama huyu.
Kwa sababu tu wamewafunga wababe wenu!!Dhahiri Kidimbwi wamehonga washinde...
Wewe mjini umefika lini?Tuanze na jina la mtangazaji, mbona kama haliendani na jinsia yake
Asukile ni soldier! BasiKwa sababu tu wamewafunga wababe wenu!!