Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nini unywe mcuzi wa MMAHARAGE CHANDE.... Kunywa hata wa January Makamba....Wakuu naombeni majibu hivi mtu mwenye vidonda vya tumbo mchuzi wa maharage unamasihara kwake maana wife Hadi namuonea huruma anateseka sana mboga ya kulia wali maana anakula wali mkavu na ndizi tu
Mwambie aache kula chakula chochoche kinacholeta shida tumboni. Aidha asile matunda jamii ya machungwa, asinywe kinywaji chochote kilichosindikwa kiwandani mfano soda, asile jojo, pipi, pombe, aache kula dagaa, asile karanga za kutafuna, aache sukari nyingi, kahawa, na mafuta mengi,mchaichai, tangawizi, asali, aepuke vyakula vya kukaanga kwa wingi, achukue tahadhali anapokula parachichi na ndizi mbivu, dawa zifuatazo asitumie bila kumuona daktari wa endoscopy yaani ebufrofen, diclofenac, diclopar, na Asprin.Wakuu naombeni majibu hivi mtu mwenye vidonda vya tumbo mchuzi wa maharage unamasihara kwake maana wife Hadi namuonea huruma anateseka sana mboga ya kulia wali maana anakula wali mkavu na ndizi
SijakuelewaHakuna uhusiano kati ya kula maharagwe na ugonjwa wa vidonda vya turbo aka ulcers
Bei chee Tu kuliko maharage ya kawaida ni vile hayana wapenzi wengi pia inategemea na ulipo! Nenda Sokoni ulizia maharage meupe utayapata!!Yanauzwa Bei gani
Poa poaBei chee Tu kuliko maharage ya kawaida ni vile hayana wapenzi wengi pia inategemea na ulipo! Nenda Sokoni ulizia maharage meupe utayapata!!
Sawa sawaBei chee Tu kuliko maharage ya kawaida ni vile hayana wapenzi wengi pia inategemea na ulipo! Nenda Sokoni ulizia maharage meupe utayapata!!