Je, Membe hakuwa na mahusiano mazuri na Yusufu Makamba? Alikosea wapi?

Je, Membe hakuwa na mahusiano mazuri na Yusufu Makamba? Alikosea wapi?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa.

Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu akila pension yake. Lakini maskini.... Ndo hivyo hatunaye tena mzee wa goal dk za lala salama.

Natoa ushauri watu wenye uhakika flani waende mwona Makamba Yusufu. Huyu anajua watu wa kutakiwa kuishi kwa sababu ya wema wao kwake na ambao si wema watajiju.
 
Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa.

Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu akila pension yake. Lakini maskini.... Ndo hivyo hatunaye tena mzee wa goal dk za lala salama.

Natoa ushauri watu wenye uhakika flani waende mwona Makamba Yusufu. Huyu anajua watu wa kutakiwa kuishi kwa sababu ya wema wao kwake na ambao si wema watajiju.
Wote hao walikuwa na viburi kila mmoja alikuwa akijiona ni maalum na wa maana zaidi ya mwngine. BM oalikuwa hawezi kupiga magoti kwa yeyote hata kama amemzidi elimu na cheo labda wale wenye mali tu. Halafu tunaambia alikuwa anaishi nyumba ya kawaida tu. Mikocheni B mtaa wa Daima, TPDC kando mwa barabara inayoelekea kule kulikuwa na nyumba za mawaziri ni nyumba ya kawaida?

Matajiri na wastaafu wengi wanaishi hapo hapana tofauti na Masaki kasoro barabara za lami kwenye mitaa tu lakini maisha yao ni juu kama Masaki, Msasani, Oysterbay, Mbezi beach, Ununio, Mbweni, Salasala au Kigamboni mji mwema.
 
Wote hao walikuwa na viburi kila mmoja alikuwa akijiona ni maalum na wa maana zaidi ya mwngine. BM oalikuwa hawezi kupiga magoti kwa yeyote hata kama amemzidi elimu na cheo labda wale wenye mali tu. Halafu tunaambia alikuwa anaishi nyumba ya kawaida tu. Mikocheni B mtaa wa Daima, TPDC kando mwa barabara inayoelekea kule kulikuwa na nyumba za mawaziri ni nyumba ya kawaida?

Matajiri na wastaafu wengi wanaishi hapo hapana tofauti na Masaki kasoro barabara za lami kwenye mitaa tu lakini maisha yao ni juu kama Masaki, Msasani, Oysterbay, Mbezi beach, Ununio, Mbweni, Salasala au Kigamboni mji mwema.
Alitakiwa kuishi wapi mkuu?
Mtu mwenye wasifu kama wake?
 
Wote hao walikuwa na viburi kila mmoja alikuwa akijiona ni maalum na wa maana zaidi ya mwngine. BM oalikuwa hawezi kupiga magoti kwa yeyote hata kama amemzidi elimu na cheo labda wale wenye mali tu. Halafu tunaambia alikuwa anaishi nyumba ya kawaida tu. Mikocheni B mtaa wa Daima, TPDC kando mwa barabara inayoelekea kule kulikuwa na nyumba za mawaziri ni nyumba ya kawaida?

Matajiri na wastaafu wengi wanaishi hapo hapana tofauti na Masaki kasoro barabara za lami kwenye mitaa tu lakini maisha yao ni juu kama Masaki, Msasani, Oysterbay, Mbezi beach, Ununio, Mbweni, Salasala au Kigamboni mji mwema.
Kwan unadhani huyo Membe hana nyumba huko masakii?? Aaaah weee
 
KIle kizee cha kigosi ni kiropokaji tu usikitilie maanani mkuu...sijui alikuwa anapewaje uongozi labda kwa uchawi maana uwezo wala elimu hana!.
 
Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa.

Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu akila pension yake. Lakini maskini.... Ndo hivyo hatunaye tena mzee wa goal dk za lala salama.

Natoa ushauri watu wenye uhakika flani waende mwona Makamba Yusufu. Huyu anajua watu wa kutakiwa kuishi kwa sababu ya wema wao kwake na ambao si wema watajiju.
Spin doctors kazi imeanza
 
Alitakiwa kuishi wapi mkuu?
Mtu mwenye wasifu kama wake?
Nyie ndio mlitakiwa mueleza alitakiwa awe na nyumba ya aina gani maana mnamkuza sana kana kwamba ni 'exceptional ' mtaa anaoishi ni wa vigogo na inawekana hapo alipo alinunua toka serikalini maana eneo hilo lilikuwa la TPDC (Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania)) kabla wafanyakazi wa ngazi za juu na wafanyabiashara kulipora kiulaghai kisha kuanza kujenga makazi. Ni mtaa wenye hadhi ya Masaki ndio maana hata makazi ya mawaziri yalijengwa eneo inalopakana nalo la Mikocheni B viwandani
 
Nyie ndio mlitakiwa mueleza alitakiwa awe na nyumba ya aina gani maana mnamkuza sana kana kwamba ni 'exceptional ' mtaa anaoishi ni wa vigogo na inawekana hapo alipo alinunua toka serikalini maana eneo hilo lilikuwa la TPDC (Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania)) kabla wafanyakazi wa ngazi za juu na wafanyabiashara kulipora kiulaghai kisha kuanza kujenga makazi. Ni mtaa wenye hadhi ya Masaki ndio maana hata makazi ya mawaziri yalijengwa eneo inalopakana nalo la Mikocheni B viwandani
Mimi na nani?
 
maxresdefault.jpg
 
Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa.

Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu akila pension yake. Lakini maskini.... Ndo hivyo hatunaye tena mzee wa goal dk za lala salama.

Natoa ushauri watu wenye uhakika flani waende mwona Makamba Yusufu. Huyu anajua watu wa kutakiwa kuishi kwa sababu ya wema wao kwake na ambao si wema watajiju.
Achana na post chonganishi. Walikuwa wanaelewana. Hawakuwa na shida yoyote baina yao.
 
Sayansi bado haijaweza kutatua fumbo la kifo.

Ila pesa nyingi sana zizisomithilika zinawekezwa kila uchao na matajiri wa dunia hii kutafiti kisayansi namna ya kuepusha kifo kwa wanadamu au hata tu kuongeza urefu wa maisha kufikia angalau miaka 150 kwa uchache.

Misemo ya kishirikina kama “wazuri hawafi” haitatufikisha popote zaidi ya kuwa wabobevu au wazamivu wa kejeli wakati ulimwengu wa wenzetu ukiendelea kuchanja mbuga.
 
Back
Top Bottom