Je, Membe hakuwa na mahusiano mazuri na Yusufu Makamba? Alikosea wapi?

Je, Membe hakuwa na mahusiano mazuri na Yusufu Makamba? Alikosea wapi?

Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa.

Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu akila
Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa.

Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu akila pension yake. Lakini maskini.... Ndo hivyo hatunaye tena mzee wa goal dk za lala salama.

Natoa ushauri watu wenye uhakika flani waende mwona Makamba Yusufu. Huyu anajua watu wa kutakiwa kuishi kwa sababu ya wema wao kwake na ambao si wema watajiju.

pension yake. Lakini maskini.... Ndo hivyo hatunaye tena mzee wa goal dk za lala salama.

Natoa ushauri watu wenye uhakika flani waende mwona Makamba Yusufu. Huyu anajua watu wa kutakiwa kuishi kwa sababu ya wema wao kwake na ambao si wema watajiju.
Hivi mbona una roho kirundi!?? Magufuli alkw ndg yako!??? Maana naona kama mnafanana roho zenu,,,chokochoko ndo chakula chenu
 
Hivi mbona una roho kirundi!?? Magufuli alkw ndg yako!??? Maana naona kama mnafanana roho zenu,,,chokochoko ndo chakula chenu
Mbona umekuja umeshikilia kanga na vidole juu... Shida nini? Tulia kwanza. Halafu mwambie mtu akuandikie tukuelewe.
 
Hamna.... Watu wema huwa hawafi kwa mujibu wa makamba
Elewa kiswahili,,,ukiambiwa wazuri hawafi siyo kwamba roho yake haiachani na mwili,,,maana yake ni kwamba wakifa matendo yao mema hubaki katika jamii,hii ndyo tafsiri sahihi hivi kwa akili yako makamba na uzee wake hajui kwamba kila nafsi itaonja mauti!? Warundi mna shida sana,,kumbuka nyinyi ndy mlioanzisha hizi siasa za chuki nchini,,,system ilijisahau wahutu mkashika madaraka
 
Hakuna haja ya kushangilia kifo au kumuombea mtu kifo ila wote walioshangilia kifo cha jiwe malipo yenu ni hapa hapa.
 
Duh hizi story zinatokaga na wapi aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna haja ya kushangilia kifo au kumuombea mtu kifo ila wote walioshangilia kifo cha jiwe malipo yenu ni hapa hapa.
Nawewe ambae hukushangilia ulikata tiketi ya kuishi milele!? Wtz wapumbavu sana watoto wadogo miaka 2,3----- wanakufa sembuse vikongwe Magufuli na Membe!
 
Elewa kiswahili,,,ukiambiwa wazuri hawafi siyo kwamba roho yake haiachani na mwili,,,maana yake ni kwamba wakifa matendo yao mema hubaki katika jamii,hii ndyo tafsiri sahihi hivi kwa akili yako makamba na uzee wake hajui kwamba kila nafsi itaonja mauti!? Warundi mna shida sana,,kumbuka nyinyi ndy mlioanzisha hizi siasa za chuki nchini,,,system ilijisahau wahutu mkashika madaraka
Ungekunywa maji kwanza utulie akili. Halafu umwambie mtu akuandikie.
 
Back
Top Bottom