Je, mfumo wa ugharamiaji Elimu ya Juu 'Bongo' unaendana na wakati?

Je, mfumo wa ugharamiaji Elimu ya Juu 'Bongo' unaendana na wakati?

Bibi Mikopo

Senior Member
Joined
May 15, 2015
Posts
180
Reaction score
35
Salaam Wadau,

Nimejiuliza tu. Kuna wanafunzi wengi wananufaika na mikopo inayotolewa na Serikali anbao wapo vyuo vikuu. Hili ni jambo jema sana. Lakini, mfumo wa sasa, ambao wanufaika wanasoma kozi yoyote na chuo chochote, ni sahihi kwa uendelevu (sustainability) wa fedha au maendeleo ya taifa?

Shukrani
 
Salaam Wadau,

Nimejiuliza tu. Kuna wanafunzi wengi wananufaika na mikopo inayotolewa na Serikali anbao wapo vyuo vikuu. Hili ni jambo jema sana. Lakini, mfumo wa sasa, ambao wanufaika wanasoma kozi yoyote na chuo chochote, ni sahihi kwa uendelevu (sustainability) wa fedha au maendeleo ya taifa?

Shukrani
Ulitaka uwe ni kwa baadhi ya Programs si ndiyo? Acha roho mbaya mkuu, Hiyo ni Cake ya Taifa kila mtu anakipande
 
Back
Top Bottom