Je, mikataba ya utumishi wa umma inasemaje kuhusu kufanya kazi part time?

Je, mikataba ya utumishi wa umma inasemaje kuhusu kufanya kazi part time?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kila mtu anajua kuwa mishahara ya watumishi wa umma ni midogo sana na kiuhalisia haikizi mahitaji ya kila siku.

Watanzania wengi wapo kwenye utumishi wa umma sababu tu ni ajira ya kudumu na ukiwa nayo kiasi fulani unaweza kupoza rim.

Hivi mtu anakuwa na net pay ya 350000 kwa maisha ya leo ataishi vipi? Kodi ya nyumba,chakula pamoja na ada za watoto!

Huyu ni mtu wa chini ambae nimetolea mfano, Je, hawa madaktari ambao wamekomaa mpaka wakawa wataalaamu wa kuokoa uhai wa watu,hata kama anapata mil 1.5 kwa maisha ya sasa bado ni pesa ndogo.

Je, kufanya kazi part time ili kujazia mapengo mshahara mdogo unaopata serikalini ni kosa? Je haiuruhusiwi kisheria? Mbona mawakili wengi wa serikali wanaofisi zao binafsi na wanapiga mpunga wa kugosha?kwa nini madaktari ndio mnawakaba roho wasitafute hata mkate wa ziada?

Watawala mtuhurumie basi.
 
hauruhusiwi kulipwa Mara mbili.


baada ya kazi pumzika nyumbani au kanywe bia
 
Ni kweli miaka 6 watumishi wa umma hawajapandishiwa mishahara na serikali .
 
Hii ndio Tanzania ya kijani mliyoitaka! Mitano zaidi au nasema uongo ndugu zangu?
 
Tatizo watu hawasomi.
Upo waraka unaozungumzia swala hilo maana linajitokezaga kila awamu ya uongozi inapoingia madarakani
 
Je, kufanya kazi part time ili kujazia mapengo mshahara mdogo unaopata serikalini ni kosa?
Huyu daktari siyo part time. Ni kwamba yy ameacha ajira ya serikali na kwenda private.

Vyovyote iwavyo huyu daktari hajafanya kosa lolote. Kwasabb hata kqma amesomeahwa na serikali huko aliko anatibu watanzania.
 
Kila mtu anajua kuwa mishahara ya watumishi wa umma ni midogo sana na kiuhalisia haikizi mahitaji ya kila siku.

Watanzania wengi wapo kwenye utumishi wa umma sababu tu ni ajira ya kudumu na ukiwa nayo kiasi fulani unaweza kupoza rim.

Hivi mtu anakuwa na net pay ya 350000 kwa maisha ya leo ataishi vipi? Kodi ya nyumba,chakula pamoja na ada za watoto!

Huyu ni mtu wa chini ambae nimetolea mfano,Je hawa madaktari ambao wamekomaa mpaka wakawa wataalaamu wa kuokoa uhai wa watu,hata kama anapata mil 1.5 kwa maisha ya sasa bado ni pesa ndogo.

Je, kufanya kazi part time ili kujazia mapengo mshahara mdogo unaopata serikalini ni kosa? Je haiuruhusiwi kisheria? Mbona mawakili wengi wa serikali wanaofisi zao binafsi na wanapiga mpunga wa kugosha?kwa nini madaktari ndio mnawakaba roho wasitafute hata mkate wa ziada?
Watawala mtuhurumie basi.
1.5 ni basic, wakikata zinabake laki 8kasoro, ukikopa na bank take home laki 4
 
Huyu daktari siyo part time. Ni kwamba yy ameacha ajira ya serikali na kwenda private.

Vyovyote iwavyo huyu daktari hajafanya kosa lolote. Kwasabb hata kqma amesomeahwa na serikali huko aliko anatibu watanzania.
Kwani lazima kufanya kazi serikalini?
 
Mei mosi mwaka huu kutakuwa na jambo.
Sidhani kama yupo mfanyakazi mwenye akili timamu anayeweza kuziamini ahadi na kauli za huyo kiumbe. All in all, ameahidi mara kadhaa kuiheshimu katiba.

Litakua ni jambo la faraja sana iwapo ataondoka kwa amani ifikapo 2025! Na wengi hatutarajii makosa ya 2015 kujirudia tena 2025, au ajifanye eti anapendwa na wananchi walio wengi hivyo ajigeuze kuwa Museveni au swahiba wake Kagame.

Ukweli anaujua. Anapendwa na wanafiki na wachumia tumbo pekee.
 
Back
Top Bottom