Je, mimba itakuwa imetoka?

So mwanangu uliloweka?
Itakua bado imo, dah nenda kwa Dr andaa hela sasa
 
Naona munahidhinisha mauaji, wewe umezaliwa kwanini umuue mwenzio tena kiumbe chako mwenyewe. Hii ni dhambi na haitakuacha salama.
 
Mkuu acha uchuro hujui nipo katika situation gani hadi maamuzi yakafanyika
Naona munahidhinisha mauaji, wewe umezaliwa kwanini umuue mwenzio tena kiumbe chako mwenyewe. Hii ni dhambi na haitakuacha salama.
 
Wakwepa majukumu wanashauri girls zao upuuzi kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…