Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Naomba niulize, mimi kama mlipa Kodi siwezi kumuagiza Kiongozi yoyote afanye jambo ambalo ni faida kwa wananchi? Kama atafanya au kutofanya hilo ni suala jingine.
Sasa kama jamii ni vema kutumia rasilimali muda kujiuliza kwanini fulani amemuagiza Mtumishi wa Umma afanye hiki au kile au tujiulize kama kilichoagizwa sio kitu chema au hakina manufaa ya nchi?
Nadhani kama jamii tumekuwa tujikitiza kwenye technicalities badala ya ku-deal na big picture. Kwamba Katiba inanikataza mimi kumuambia Mtumishi wa Umma afanye hiki au kile? Yaani ninakatazwa mfano kumwambia Rais nampa siku nne Mgao wa Umeme uwe umeisha (Ofcourse huenda asifanye na asipofanya huenda sitampa Kura)? What's wrong with that?
Naona kama Taifa tumekuwa tukijikita kwenye petty issues kwa muda mrefu hivyo kupelekea mambo makubwa kutupita chini ya kapeti.
Sasa kama jamii ni vema kutumia rasilimali muda kujiuliza kwanini fulani amemuagiza Mtumishi wa Umma afanye hiki au kile au tujiulize kama kilichoagizwa sio kitu chema au hakina manufaa ya nchi?
Nadhani kama jamii tumekuwa tujikitiza kwenye technicalities badala ya ku-deal na big picture. Kwamba Katiba inanikataza mimi kumuambia Mtumishi wa Umma afanye hiki au kile? Yaani ninakatazwa mfano kumwambia Rais nampa siku nne Mgao wa Umeme uwe umeisha (Ofcourse huenda asifanye na asipofanya huenda sitampa Kura)? What's wrong with that?
Naona kama Taifa tumekuwa tukijikita kwenye petty issues kwa muda mrefu hivyo kupelekea mambo makubwa kutupita chini ya kapeti.