Je, mimi ni introvert au extrovert?

mara huoni shida kukaa mwenyewe mara huwezi kukaa mwenyewe kiufupi hujielewi na hujui umeandika nini
Punguza kwanza jazba alafu rudia tena kusoma utaelewa nimeandika nini ..
 
kuna wale hatuelewi kwa kina hata hizo introvert na extrovert ndo vitu gani[emoji3166]
 
kuna wale hatuelewi kwa kina hata hizo introvert na extrovert ndo vitu gani[emoji3166]
Kwa tafsiri isiyo rasmi, introvert ni ile hali ya ukimya yani kutokuwa social na extrovert ni kinyume chake ..
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi, introvert ni ile hali ya ukimya yani kutokuwa social na extrovert ni kinyume chake ..
Nimekuelewa introvert mkimya extrovert muongeaji[emoji848]
 
Ila ya kukaa ndani wiki nzima bila kutoka nje hiyo kiboko. Umenizidi. Mimi naweza kukaa siku moja au mbili tu, siku ya pili lazima nitoke. Wiki! Hiyo ni komesha.
Mi zamani kabla ya maisha kuchangamma ndo ilikua style yangu kukaa ndani tu na TV
Hadi nakua mweupe mana nadra kukaa juani😅
 
yani kwa historia hyo ,,unaonekana pia ulikuwa mpiga nyeto mzuri enzi hizo bila shaka usibishe......ulikuwa unajipa raha kimykimy..mana kuwa alone muda mrefu mtoto wa kiume afu uko rijali lzm utastua engine kidgo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…