Je, mimi ni introvert au extrovert?

Je, mimi ni introvert au extrovert?

yani kwa historia hyo ,,unaonekana pia ulikuwa mpiga nyeto mzuri enzi hizo bila shaka usibishe......ulikuwa unajipa raha kimykimy..mana kuwa alone muda mrefu mtoto wa kiume afu uko rijali lzm utastua engine kidgo
Sikatai mkuu, ila sidhani kama ndo inaweza kuwa sababu ..
 
Tafuta hela hauna u introvert wowote jishughulishe mtoto wa kiume unatangaza unakaa ndan wiki nzima bila kutoka nje ya geti umekua mwali ww? unafurahia tu kula chakula cha shemeji na kuangalia sultan azam Tv
 
Tafuta hela hauna u introvert wowote jishughulishe mtoto wa kiume unatangaza unakaa ndan wiki nzima bila kutoka nje ya geti umekua mwali ww? unafurahia tu kula chakula cha shemeji na kuangalia sultan azam Tv
Mbona povu tena ?? ..
 
We ni semi-extrovert mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]!

Anyways uko flexible mkuu sema tu una aibu flani na una watu na watu sio kila mtu unajichanganya nae! Ofcourse huo utakatifu wa nyumbani ni tabia ambayo baadhi ya watu wanayo na chanzo ni kutokutaka uonekane sio ila ukiwa mbali na home unafanya vimbwanga tu kama Side mnyamwezi
Jamaa hatari sana, hivi bado yupo active kweli, #SideMnyamwezi?
 
Mbona mnamnanga mshikaji

Mwaya we ni introvert au unasemaje
 
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa muda mrefu nimekua nikisoma threads tofauti tofauti hapa JF zinazohusiana na watu wapole/wakimya (introvert) na wale wasio wapole/wacheshi (extrovert)

Binafsi nimekua nikijiuliza nipo kundi lipi bila kupata majibu kwa sababu sifa zote za introverts zilizoainishwa na wadau wa JF ninazo ninapokuwa home yani ni mgumu sana wa kusocialize, nikikukuta Yani ni salamu tu imetoka hiyo .. na nilikuwa na uwezo wa kukaa ndani hata wiki nzima nisikanyage nje ya geti, yani kwa ufupi ni kwamba naonekana kwa nadra sana na pia nina feel more comfortable kuwa peke yangu yani huwa sitegemei kabisa kampani ya mtu.

Pia nina tabia ya kuongea peke yangu, yani nina uwezo wa kukaa hata masaa mawili nikawa naongea mithiri ya mtu aliye kijiweni na kucheka kabisa [emoji23][emoji23] (nipo vizuri kabisa kiakili) hali inayonifanya nijiulize hivi wanaosema wako bored kivipi yani mbona am always alone but I don't feel any sense of boredom?

Tuachane na hayo, hali hii imenifanya nijizolee maadui kibao mtaa ninaoishi mbaya zaidi nachukiwa hadi na watu wazima yani utawakuta wamekaa kwenye group unawasalimia wote hamna anayekujibu.

Alafu kingine ni kwamba, nimekua ni mwepesi mno wa kufanya hard decisions (maamuzi magumu) yani ni kitu cha kawaida mno kwangu mpka kuna muda huwa najiuliza 'hivi ni mimi ninayefanya haya'

Lengo hasa la Uzi huu ni hivi, kipindi nasoma kuanzia form 1 mpaka form 6 nilikuwa stubborn sana shuleni, kila mwalimu ali complain kuhusu mimi. Mara nyingi nilikua nikifukuzwa kati kati ya kipindi sababu ya kelele darasani.

Mara nyingi nikiwa shuleni nitajitahidi kujitenga na wana kusudi niweze kujisomea lakini nitakaa kwa muda wa 30mins only nitafunga kitabu nitarudi kwenye group na washkaji (Yani nilikua siwezi kukaa alone)

Mpaka nafika advance Ilikua baadhi ya lessons nisipo kuwepo basi darasa litapoa mno, kwa kifupi Nina ucheshi wa aina yake, ofauti ni kwamba ninapokuwa home haya yote niliyo yaorodhesha huwa ni kinyume chake, yani nakua mpole mno siwezi kabisa kujichanganya na watu kama ambavyo nakua shuleni.

Kwa kifupi mimi wa shuleni na wa nyumbani ni watu wawili tofauti.

Je, mimi nipo kundi lipi, introvert au extrovert, au nipo katikati?

Nawasilisha
Wewe ni introvert,kinochokufanya nyumbani uwe kimya ni aibu inayoambatana na nidhamu ya woga dhidi ya watu waliokuzidi umri (unakosa uhuru(comfortability)).

Sasa ulipoenda shule ya bweni kisaikolojia ulipata uhuru uliopindikia (free & very comfortable) kwa maana ya kwamba upo mahari ambapo;

🔘 Huwazi maisha (kama nyumbani hakuna matatizo ya kifamilia).

🔘Upo na watu wa rika moja ambao hamfahamiani kiundani (wote umri mnaringana).

🔘Upo mbali na wazazi/walezi na watu wengine unaofahamiana nao ( na hawa ndio unaowaleteaga nidhamu ya woga).

Introverts siokwamba ni wakimya muda wote au hawaongeagi sana la! Niwanaongea ila ni kwambinde sana yaani hapa sio wepesi wakuazisha au kuingilia maongezi (yaani hapa mnaweza mkawa kundi la watu mnabishana kitu afu wote mmeenda opposite/mnalishana matango pori... sasa apa huyo introvert anaweza akawa anujua jibu na akiingilia na kujibu mbishano na utata ukaisha hapohapo lakini yeye hajibu anakua mzito kuzungumza hadi mtatawanyika, sasa dawa yake hapo ni mum-face yeye mumuombe mchango wake juu ya hilo swala, hapo mtashushiwa nondo heavy.

Hata wanafunzi madarasani mwalimu akisema anaejua jibu la hili swala anyooshe kidole... mara nyingi hawanyooshagi, hata akikosekana wa kujibu na mwalimu akaongezea kama hamjibu/hamjui nawawasha bakora my friends mmekwisha fimbo mtapigwa kumbe kulikua na pimbi mmoja anajua na anauhakika hili ndio jibu. Sasa we kama mwalimu unawajua watu wa namna hii we unam-point tu fulani jibu swali anajibu kilaini maana hawezi kukataa kwakua hayo yote sio ilikua ni jeuri au kiburi ni basi tu yani😁

Hawa jamaa ni wanafikiria sana (Great thinkers), sio wanyonge kiviile ni wazungumzaji sana tu... ukitaka kujua hilo we tafuta topic au wazo tu fikilishi lisiwe la udaku kaanzishe story nae na itapendeza zaidi kama litakua limo ndani ya mambo anayoyapendelea(hobby),. My friend zitashushwa nondo za maana hapo utakuta anafunguka kwa kujiachia hutaamini.
 
Habari wakuu,

Wewe ni introvert,kinochokufanya nyumbani uwe kimya ni aibu inayoambatana na nidhamu ya woga dhidi ya watu waliokuzidi umri (unakosa uhuru(comfortability)).

Sasa ulipoenda shule ya bweni kisaikolojia ulipata uhuru uliopindikia (free & very comfortable) kwa maana ya kwamba upo mahari ambapo;

[emoji820] Huwazi maisha (kama nyumbani hakuna matatizo ya kifamilia).

[emoji820]Upo na watu wa rika moja ambao hamfahamiani kiundani (wote umri mnaringana).

[emoji820]Upo mbali na wazazi/walezi na watu wengine unaofahamiana nao ( na hawa ndio unaowaleteaga nidhamu ya woga).

Introverts siokwamba ni wakimya muda wote au hawaongeagi sana la! Niwanaongea ila ni kwambinde sana yaani hapa sio wepesi wakuazisha au kuingilia maongezi (yaani hapa mnaweza mkawa kundi la watu mnabishana kitu afu wote mmeenda opposite/mnalishana matango pori... sasa apa huyo introvert anaweza akawa anujua jibu na akiingilia na kujibu mbishano na utata ukaisha hapohapo lakini yeye hajibu anakua mzito kuzungumza hadi mtatawanyika, sasa dawa yake hapo ni mum-face yeye mumuombe mchango wake juu ya hilo swala, hapo mtashushiwa nondo heavy.

Hata wanafunzi madarasani mwalimu akisema anaejua jibu la hili swala anyooshe kidole... mara nyingi hawanyooshagi, hata akikosekana wa kujibu na mwalimu akaongezea kama hamjibu/hamjui nawawasha bakora my friends mmekwisha fimbo mtapigwa kumbe kulikua na pimbi mmoja anajua na anauhakika hili ndio jibu. Sasa we kama mwalimu unawajua watu wa namna hii we unam-point tu fulani jibu swali anajibu kilaini maana hawezi kukataa kwakua hayo yote sio ilikua ni jeuri au kiburi ni basi tu yani[emoji16]

Hawa jamaa ni wanafikiria sana (Great thinkers), sio wanyonge kiviile ni wazungumzaji sana tu... ukitaka kujua hilo we tafuta topic au wazo tu fikilishi lisiwe la udaku kaanzishe story nae na itapendeza zaidi kama litakua limo ndani ya mambo anayoyapendelea(hobby),. My friend zitashushwa nondo za maana hapo utakuta anafunguka kwa kujiachia hutaamini.
Shukrani sana mkuu [emoji1545][emoji1545] ..
 
Tafuta hela wewe, mambo ya u-introvert na u-extrovert hayatakusaidia lolote.

Anyway, kuna hawa wanaitwa ambivert, hawa wanakuwa na sifa zote za u-introvert na u-extrovert.
wanaforce kila mtu awemo kwny hayo makundi ya kufikirika.

Mi nafikiri hizo ni dhana tu za uganga nyota.
halipo la kutoamo humo sanasana mizaha tu.
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa muda mrefu nimekua nikisoma threads tofauti tofauti hapa JF zinazohusiana na watu wapole/wakimya (introvert) na wale wasio wapole/wacheshi (extrovert)

Binafsi nimekua nikijiuliza nipo kundi lipi bila kupata majibu kwa sababu sifa zote za introverts zilizoainishwa na wadau wa JF ninazo ninapokuwa home yani ni mgumu sana wa kusocialize, nikikukuta Yani ni salamu tu imetoka hiyo .. na nilikuwa na uwezo wa kukaa ndani hata wiki nzima nisikanyage nje ya geti, yani kwa ufupi ni kwamba naonekana kwa nadra sana na pia nina feel more comfortable kuwa peke yangu yani huwa sitegemei kabisa kampani ya mtu.

Pia nina tabia ya kuongea peke yangu, yani nina uwezo wa kukaa hata masaa mawili nikawa naongea mithiri ya mtu aliye kijiweni na kucheka kabisa [emoji23][emoji23] (nipo vizuri kabisa kiakili) hali inayonifanya nijiulize hivi wanaosema wako bored kivipi yani mbona am always alone but I don't feel any sense of boredom?

Tuachane na hayo, hali hii imenifanya nijizolee maadui kibao mtaa ninaoishi mbaya zaidi nachukiwa hadi na watu wazima yani utawakuta wamekaa kwenye group unawasalimia wote hamna anayekujibu.

Alafu kingine ni kwamba, nimekua ni mwepesi mno wa kufanya hard decisions (maamuzi magumu) yani ni kitu cha kawaida mno kwangu mpka kuna muda huwa najiuliza 'hivi ni mimi ninayefanya haya'

Lengo hasa la Uzi huu ni hivi, kipindi nasoma kuanzia form 1 mpaka form 6 nilikuwa stubborn sana shuleni, kila mwalimu ali complain kuhusu mimi. Mara nyingi nilikua nikifukuzwa kati kati ya kipindi sababu ya kelele darasani.

Mara nyingi nikiwa shuleni nitajitahidi kujitenga na wana kusudi niweze kujisomea lakini nitakaa kwa muda wa 30mins only nitafunga kitabu nitarudi kwenye group na washkaji (Yani nilikua siwezi kukaa alone)

Mpaka nafika advance Ilikua baadhi ya lessons nisipo kuwepo basi darasa litapoa mno, kwa kifupi Nina ucheshi wa aina yake, ofauti ni kwamba ninapokuwa home haya yote niliyo yaorodhesha huwa ni kinyume chake, yani nakua mpole mno siwezi kabisa kujichanganya na watu kama ambavyo nakua shuleni.

Kwa kifupi mimi wa shuleni na wa nyumbani ni watu wawili tofauti.

Je, mimi nipo kundi lipi, introvert au extrovert, au nipo katikati?

Nawasilisha
Wewe ni introvert maana Extrovert yupo humu ndani
 
Back
Top Bottom