Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Unaona sasa wabongo sisi kwa ku-justify matumizi ya mitumba hatujamboπππππππni imara kwelii hasa viatuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona sasa wabongo sisi kwa ku-justify matumizi ya mitumba hatujamboπππππππni imara kwelii hasa viatuu
Umemaliza mkuu hakuna jingine ,sisi kila kitu ni mtumba,Sio nguo tu hata haya magari mnayotumia ni mtumba.
Proof me wrong
Prove me wrongSio nguo tu hata haya magari mnayotumia ni mtumba.
Proof me wrong
Wengi wetu tumewahi kusikia, kuuza ama kuvaa nguo zinazojulikana kama "mtumba", je umewahi kujiuliza hizo nguo zinatokea wapi.??
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2020 na mwandishi mmoja wa habari za uchunguzi nchini Finland, waligundua kwamba baadhi ya nguo ambazo wananchi wa taifa hilo wamekwisha zitumia na hazipo katika hali nzuri sana, huwa zinakusanywa na baadhi ya mashirika yakiwemo mashirika yanayotoa misaada mbalimbali nchini humo na mwisho wa siku mashirika hayo yanazisambaza nguo hizo katika nchi mbalimbali za Afrika na Mashariki ya kati. Ndo hizo zinaitwa "nguo za mtumba" kwa hapa kwetu.
Awali, mashirika hayo yalikana kusafirisha nguo hizo zilizokwisha tumika kwenda barani Afrika, lakini mwandishi huyo akaamua kufanya uchunguzi kwa kutumia vifaa maalumu vya ku"trak" mahali kilipo kitu ambapo aliweka vifaa hivyo kwenye nguo takribani 6 ambazo zilikwishatumika na kisha akazipeleka kwnye madustibin ambazo mashirika hayo yanakusanyia nguo "used"
Kwa mujibu wa mwandishi huyo, nguo zote zita zilisafirishwa nje ya nchi hio ambapo nguo moja ilikwenda nchini Ujerumani, nyingine Latvia na moja ilipoteza uelekeo kwahyo haikujilikana imeenda wapi.
Kuhusu nguo nyingine tatu zilizobakia:
Baada ya miezi mitano, kifaa kilichowekwa kwnye moja ya nguo kilisoma kipo nchini Nigeria.. Na baada ya miezi sita, kifaa kingine kilichowekwa kwnye nguo nyingine kilionesha kipo nchini Kenya na kubwa kuliko, nguo moja iliyobakia ilionesha imefika nchini Pakistani baada ya mwaka mmoja..
Huo ndo ukweli kuhusu nguo za mtumba
Kwani kuna mtu mwenye akili timamu asiyeelewa ukweli huo?Sio nguo tu hata haya magari mnayotumia ni mtumba.
Proof me wrong
Wapo wengi sana, utaskia "amenunua gari mpya kutoka Japan" (gari ishatembea kilomita zaidi ya 80,000). Yeye anachaongalia ni kung'aa kwa nje.Kwani kuna mtu mwenye akili timamu asiyeelewa ukweli huo?
Of course nishawahi kuwa na bag moja la mtumba toka2012 limeibiwa mwaka huuNa sisi end user utatusikia, VYA MTUMBANI UNAKUWA PEKE YAKO NA NI IMARA SANA
Hata treni inayokuja SGR ni mtumbaSio nguo tu hata haya magari mnayotumia ni mtumba.
Proof me wrong
Vitu vipya kwa hapa kwetu vina kuwa havina ubora utakuta shati lime andikwa cotton lakini ukikishika siyo cotton, vilevile kwenye sandal ukinunua mpya utatumia miezi 6 zina katia tofauti na mtumba maana bidhaa za mtumba zinatoka dunia ya kwanza.Unaona sasa wabongo sisi kwa ku-justify matumizi ya mitumba hatujambo
Tawire mgangaProve me wrong