Je, mitumba ni nguo zilizochangwa ili kusaidia wasiojiweza?

Mbona hata nje kwenyewe kuna maduka ya mtumba? Ushawahi kusikia dollar store?
 
Kibongo bongo tunaamini nguo za mtumba ni nzuri kuliko midosho ya special..
 
Na sisi end user utatusikia, VYA MTUMBANI UNAKUWA PEKE YAKO NA NI IMARA SANA
Of course nishawahi kuwa na bag moja la mtumba toka2012 limeibiwa mwaka huu

Lilikuwa kali sana 2020 ndo nilikuja ona mtu analo kama hilo nilshtuka sana hadi nikamfata nikamwambia πŸ˜† yeye pia alishangaa sana kama ninalo kama lile haamini kabisa langu siku hio niliacha na wote tumekutana tuko na baskeli
 
mbona tangiapo nasoma historia naambiwa africa ni dumping site?
 
Unaona sasa wabongo sisi kwa ku-justify matumizi ya mitumba hatujambo
Vitu vipya kwa hapa kwetu vina kuwa havina ubora utakuta shati lime andikwa cotton lakini ukikishika siyo cotton, vilevile kwenye sandal ukinunua mpya utatumia miezi 6 zina katia tofauti na mtumba maana bidhaa za mtumba zinatoka dunia ya kwanza.
 
Mwa nilifika mitumba nanunua viatu haswa ila vya juu maana mwenyewe nilivaa siku mbili sina hamu na nguo hata iwe low quality napenda niivae mpya baada ya kufuata mara tatu sin hamu nayo ..
At least roho yangu inafurai siwezi kuvaa linguo mwaka mzima kwani uniform za shule kama pesa napata nguo kama chakula japo sio pesa ndefu sana ila kujipenda kila siku nguo mpya angalau naona nimejipa thamani angalau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…