Get her naturalized
olyset net, mbona kushtuka ndugu!??What??
Wewe siyo muowaji bali ni Goal Digger, sijawahi kuona Mwanaume opportunist kama wewe. kazi ya Mwanamke ni kukaa nyumbani kukupikia na kulea Familia, hizo nyingine ni mbwembwe tu. by the way hata kama sheria inamruhusu hatumuhitaji sisi wenyewe hatuna kazi, sasa mgeni kwa nini aje kuchukuwa kazi zetu?I am thinking of telling her this!
Yani aolewe kabla ya kuwa na uhakika wa kazi (her mum could be a problem, jus thinking!)
Wewe siyo muowaji bali ni Goal Digger, sijawahi kuona Mwanaume opportunist kama wewe. kazi ya Mwanamke ni kukaa nyumbani kukupikia na kulea Familia, hizo nyingine ni mbwembwe tu. by the way hata kama sheria inamruhusu hatumuhitaji sisi wenyewe hatuna kazi, sasa mgeni kwa nini aje kuchukuwa kazi zetu?
Nashukuru nimeshapatiwa jibu sahihi!
Mbarikiwe...
ya anaweza kabsa kwa sababu sheria za kenya,uganda na tanzania chimbuko lake ni moja ambalo ni common law....kwa hiyo yeye kuna mambo machache tu atabidi asome tanzania lakini sheria haijatofautiana sana