shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
ule utafiti uko sawa kabisa kama watu wenyewe ndioa hawaDaaah huu ni ule utafiti wa 1:4 au kuna kitu kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ule utafiti uko sawa kabisa kama watu wenyewe ndioa hawaDaaah huu ni ule utafiti wa 1:4 au kuna kitu kingine
hata nyie wachangiaji ni ¼ule utafiti uko sawa kabisa kama watu wenyewe ndioa hawa
Mh! Sasa dose yake ipoje? Tupe mchanganuo wa dose tafadhali huenda ikawa ni akiba Nzuri.mkojo ndio
kuna wakati akili pekee haiwezi kusahau lazima msaada
Unaongea nin wewHabari jamani,
Hivi mkojo unatumika kusahaulisha stress za mapenzi tu? Au hata stress zingine?!
Kama mfano mtu kafiwa gafla ameumia sana mpaka inakaua ngumu kujizuia, unaweza mpa mkojo wake akanywa akanuiza akasahau?
Ah ah ah ahkwa mfano una stress za mapenzi
umeachwa au mwanammke anakuzingua au mwanaume
sasa unataka kumsahau haraka maana anakunyima raha..
unakojoa kwenye kikopo kdg
halafu unakunywa kidogo
huku unasema labda " kwanzia leo aisha nikusahau, sikutaki tena nikusahau kabisaa"
basi kwanzia hapo utamsahau..
kesho yake utaamka umeshaanza kumsahau
Dawa ya stress n stressHabari jamani,
Hivi mkojo unatumika kusahaulisha stress za mapenzi tu? Au hata stress zingine?!
Kama mfano mtu kafiwa gafla ameumia sana mpaka inakaua ngumu kujizuia, unaweza mpa mkojo wake akanywa akanuiza akasahau?
Amazing..kwa mfano una stress za mapenzi
umeachwa au mwanammke anakuzingua au mwanaume
sasa unataka kumsahau haraka maana anakunyima raha..
unakojoa kwenye kikopo kdg
halafu unakunywa kidogo
huku unasema labda " kwanzia leo aisha nikusahau, sikutaki tena nikusahau kabisaa"
basi kwanzia hapo utamsahau..
kesho yake utaamka umeshaanza kumsahau
[emoji23][emoji23] 1×1Mh! Sasa dose yake ipoje? Tupe mchanganuo wa dose tafadhali huenda ikawa ni akiba Nzuri.
Kwahiyo unakunywa Mara moja tuu.?! [emoji28] [emoji28] [emoji28] kwenye mapenzi hamna kulilia tena !!![emoji28] [emoji28] [emoji28][emoji23][emoji23] 1×1
weka nia
kwisha mchezo
Wee HF, wee kunywa huo mkj unisahau bhana...Ni kama vile sijaelewa chochote
Yani sijaelewa chochote yani kunywa mkojo kabisa aiseee siwezi labda mkojo wa punda ule wa kikohoziWee HF, wee kunywa huo mkj unisahau bhana...
princess ariana au siyo ?
mkojo ni dawa kabisaWee HF, wee kunywa huo mkj unisahau bhana...
princess ariana au siyo ?