Je, mkojo huondoa stress za mapenzi tu?

hizi tafiti zingine sizo. kwanza tujue mkojo una ingredients zipi. haiwezekani sumu zinazotolewa na figo kupitia mkojo zikawa ni dawa. never.
hujawa na stress
mbona tunakunywa mkojo wa punda kwa ajili ya kifua
 
kwenye mambo ya stree am not sure najua mkojo unasaidia ukiungua moto...maumivu ya jino na mtu akila sumu au akijiovadozi apa nna experienc ya matukio watu waliopona fresh
 
Ina maana wote wanaoteswana mapenzi hawajui hii dawa..
Mhh mbona sijaweza bado kunywa mkojo,kinyaa..chaa
 
mishumaa sijui kazi yake..
nenda kwq usipojipanga[emoji23][emoji23]
Usipojipanga ni nini? Wanawake wajinga sana kwenye hii dunia. Yaani unajifunzia vitu kwenye page za kijinga za insta?
Jf ni sehem ya critical thinkers, hapa unatakiwa uje na research na uchambuzi yakinifu sio unaongea kirahisi hivo eti nenda kwenye usipojipanga alafu inawezeka umesoma vyuo vya kata
 
hujawa na stress
mbona tunakunywa mkojo wa punda kwa ajili ya kifua
Princess ile ni dawa ambayo watu waliibatiza jina la mkojo wa punda na ilikuwa inatolewa ktk vituo vya afya lakini haimaanishi it was donkey's urine.
 
sijasoma kabisa.
kwani ungesema bila maneno makali ingekuaje?
au ungepita tu kimya?
kama wewe mwema kwanini ujibizane na ubaya ? maana wote mnaonekana wabaya..

stay classic dude.[emoji41]
 
Kuna elements za ushirikina hapa!!
 
sijasoma kabisa.
kwani ungesema bila maneno makali ingekuaje?
au ungepita tu kimya?
kama wewe mwema kwanini ujibizane na ubaya ? maana wote mnaonekana wabaya..

stay classic dude.[emoji41]
Ujinga ujinga tuu. Kila kitu instagram hamuwezi kukipa kichwa nafasi ya kuwaza dunia inaendaje kutwa kucha mnashinda insta kuangalia na kusoma ujinga na kuiga kuvaa uchi.
 
Ujinga ujinga tuu. Kila kitu instagram hamuwezi kukipa kichwa nafasi ya kuwaza dunia inaendaje kutwa kucha mnashinda insta kuangalia na kusoma ujinga na kuiga kuvaa uchi.
sio wote jamani.
ni ujinga ndio
lakini sio kwa kila mtu kuna watu wanafanya biashara huko..
mimi binafsi huwa na reflesh mind tu
na kuangalia bidhaa

ila navaa kiheshima ,nna stara zangu tu
karibu kwenye page yangu![emoji120]
 
sio wote jamani.
ni ujinga ndio
lakini sio kwa kila mtu kuna watu wanafanya biashara huko..
mimi binafsi huwa na reflesh mind tu
na kuangalia bidhaa

ila navaa kiheshima ,nna stara zangu tu
karibu kwenye page yangu![emoji120]
Ila kwa mtu mwelewa zile page sio za kisoma ushauri. Kwa suala la biashara ni sahihi. Nna marafiki zangu wanasoma zile paje kufatilia kila kitu wamekua kama mavichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…