Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari wadau,
Baadhi ya taasisi za kifedha zimekuwa na tabia ya kutishia ama kukamata mali ambazo wakopoja wameziweka kama dhamana.
Swali langu ni je, iwapo mkopaji atashindwa kilipa mkopo wake kama walivyokubaliana katika mkataba wa kukopeshana, mkopeshaji anaweza kukamata mali ya mkopaji iliyowekwa kama dhamana bila kwanza kupata idhini (hukumu) ya Mahakama?
Ukiacha swali hilo la msingi, nina maswali mengine kadha hapa chini:
Na je, vitu vya ndani kisheria vinaweza kutumika kama dhamana?
Kwa maneno mengine, mkopaji na mkopeshaji, wanavunja sheria kwa kutumia vitu vya ndani mfano radio, tv, friji, n.k kama dhamana?
Je, si kweli kuna sheria imezuia kutumia vitu vya ndani kama dhamana?
Na je, sheria hii inawatendea haki watu wasio kuwa na uwezo wa kuweka vitu kama hati za viwanja, magari, n.k, kama dhamana?
Majibu tafadhali.
Baadhi ya taasisi za kifedha zimekuwa na tabia ya kutishia ama kukamata mali ambazo wakopoja wameziweka kama dhamana.
Swali langu ni je, iwapo mkopaji atashindwa kilipa mkopo wake kama walivyokubaliana katika mkataba wa kukopeshana, mkopeshaji anaweza kukamata mali ya mkopaji iliyowekwa kama dhamana bila kwanza kupata idhini (hukumu) ya Mahakama?
Ukiacha swali hilo la msingi, nina maswali mengine kadha hapa chini:
Na je, vitu vya ndani kisheria vinaweza kutumika kama dhamana?
Kwa maneno mengine, mkopaji na mkopeshaji, wanavunja sheria kwa kutumia vitu vya ndani mfano radio, tv, friji, n.k kama dhamana?
Je, si kweli kuna sheria imezuia kutumia vitu vya ndani kama dhamana?
Na je, sheria hii inawatendea haki watu wasio kuwa na uwezo wa kuweka vitu kama hati za viwanja, magari, n.k, kama dhamana?
Majibu tafadhali.