Aisee... ww ni muongo na mbishi mno na hii tabia mostly watu wa Kigoma to my experience ndio they behave like you.
CRDB, NMB, TPB, DCB, BOA, Azania, All ukiwa mtumishi wa umma then say you have a loan with them, sema 40mil.. na mshahara wako unapitia hapo, ukitaka kupunguza mkopo na umepata 30 mil wanapokea hapo hapo, kwanini ww muongo hivi? What do you get? Bila aibu eti you have 15 yrs working with banking ? You have a very big problem, yaani hata hujui watumishi wa umma wakipata fedha wengi wanapunguza mikopo yao kila siku ktk mabenki? Ww uko hai kweli mentally? 15 yrs uko bank na hujui hili? Don't waste my time again quoting, labda unafanyia bank ya mashetani