Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Na hii ndiyo inapelekea mpaka wanauana na kupigana, kimsingi ni hivyoWa wote wawili...
Ila akifikisha miaka 18 sio mali ya mtu,ni mtu binafsi!
Toeni dhana ya kumiliki wanadamu!
Kisheria inatambua mtoto ni wa wazazi wawili, ila pia kama kuna mpasuko na wawili nyie mkawa mnagombaniana watoto huwa sheria inaangalia mtoto umri wake then kama ni mdogo sana basi itampa mama advantages...Habari?.
Nauliza hivo kwa sababu nimekuwa nikisikia hizi kauli kutoka kwa wanaume "kama unaondoka nenda lakini usiondoke na MTOTO WANGU" .
Ina maana nyie wanaume ndio wamiliki wa mtoto aliyezaliwa na mama hana haki na huyo mtoto?. Kwanini msiseme "mtoto wetu"?
Mmmh..si kweli mzee!Kitanda hakizai haramu, mtoto ni wa Mungu
Mimi ni bondia wa kike. Mwanaume akijikoroga ataamkia ICU.Naona kuna dalili ya Shilole mdogo kutokea hapa kwa jina la Sheila[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa sawa, lakini unakuta mtu kang'ang'ana "hauendi na mtoto wangu popote" inashangaza sana.Kisheria inatambua mtoto ni wa wazazi wawili, ila pia kama kuna mpasuko na wawili nyie mkawa mnagombaniana watoto huwa inaangalia mtoto umri wake then kama ni mdogo sana basi itampa mama advantages...
Wa wote wawili...
Ila akifikisha miaka 18 sio mali ya mtu,ni mtu binafsi!
Toeni dhana ya kumiliki wanadamu!
Bride price/ dowry alilipa nani? Ukoo unatiririka vipi?Habari?.
Nauliza hivo kwa sababu nimekuwa nikisikia hizi kauli kutoka kwa wanaume "kama unaondoka nenda lakini usiondoke na MTOTO WANGU" .
Ina maana nyie wanaume ndio wamiliki wa mtoto aliyezaliwa na mama hana haki na huyo mtoto?. Kwanini msiseme "mtoto wetu"?
Chini ya miaka 7 utabaki nae, juu ya miaka 7 anaondoka na babaHapa sawa, lakini unakuta mtu kang'ang'ana "hauendi na mtoto wangu popote" inashangaza sana.
Upo sahihiHiyo dhana kuiondoa ni ngumu maana siku zote inaonekana mwanaume ndie anaeendeleza ukoo wake na mwanamke anatumiwa kuendeleza ukoo wa mtu mwingine.
Hii inapelekea mtoto kuonekana ni wa mwanaume zaidi ukiachilia matrelinial societies ambapo kwa bongo zipo chache