Katika pitapita yangu nimekuja kugundua matatizo yote ya maisha wanao sababisha ni wanawake!!Kwani wanawake bila ya kujalisha aliyeolewa na ambaye ajaolewa wote ndiyo wanaosababisha ugumu wa maisha,na kusababisha kushuka kwa uchumi wa nchii kwani wao ndiyo wamesababisha matatizo yote yaliyoko hapa nchini!!!Hata mafisadi wamekamatwa na wanawake hadi kusababisha nchii kuwa ombaomba!Hivyo hata sikuyawanawake dunianihaina tija kama wao wanasema penye maendeleo mwanamke yupo nyumayake je kwa nini tuwe masikini nawao wapo???
Mkuu mbona unawalaumu wakat ndio wanasababisha tufanye kaz kwa bidii tunapata mshko wk end tunawapalekea!
Kakakiiza
Hivi unafahamu kwamba bila wanawake hata wewe usingeweza kuandika hii sredi???
Hivi unafahamu bila wanawake hakuna kiumbe kitakachoitwa MWANAUME??
Hivi kweli unathubutu kumwambia mama yako mzazi kwamba kukulea kwake tumboni miezi 9, akunyonyeshe, akutunze, akulinde, akupeleke hospitali kila ukiumwa yote hayo ni kukuletea matatizo maisha yako???
Kakakiiza
Kweli unaweza ukamtukana mama yako mzazi matusi ya nguoni namna hii??
Kweli unaweza ukamfananisha mama ako na fisadi RA????
Kweli wewe unaetamka haya maneno umezaliwa na mwanmke??? Au mwenzetu ulizaliwa na kiumbe tofauti???
Kweli unathubutu kumtukana hadi Muumba wako na kuidharau kazi yake aliyoifanya kuumba mwanamke???
Ndugu, kesho ni Jumapili, siku takatifu kwa wakristo duniani, nenda katubu kabla hujawa KichaaKiiza
Na uwaombe Mods waifute hii sredi yako haraka hapa MMU
Naona itakuwa ni vizuri sana ukafanya pita yako yako nyingine ambayo itakupa picha halisi ya matatizo ya maisha badala ya hii uliyokuja nayo ambayo haina ukweli wowote.
KK kwa hili umenikwaza sana leo
Katika pitapita yangu nimekuja kugundua matatizo yote ya maisha wanao sababisha ni wanawake!!Kwani wanawake bila ya kujalisha aliyeolewa na ambaye ajaolewa wote ndiyo wanaosababisha ugumu wa maisha,na kusababisha kushuka kwa uchumi wa nchii kwani wao ndiyo wamesababisha matatizo yote yaliyoko hapa nchini!!!Hata mafisadi wamekamatwa na wanawake hadi kusababisha nchii kuwa ombaomba!Hivyo hata sikuyawanawake dunianihaina tija kama wao wanasema penye maendeleo mwanamke yupo nyumayake je kwa nini tuwe masikini nawao wapo???
Mkuu mbona unawalaumu wakat ndio wanasababisha tufanye kaz kwa bidii tunapata mshko wk end tunawapalekea!
Kakakiiza
Hivi unafahamu kwamba bila wanawake hata wewe usingeweza kuandika hii sredi???
Hivi unafahamu bila wanawake hakuna kiumbe kitakachoitwa MWANAUME??
Hivi kweli unathubutu kumwambia mama yako mzazi kwamba kukulea kwake tumboni miezi 9, akunyonyeshe, akutunze, akulinde, akupeleke hospitali kila ukiumwa yote hayo ni kukuletea matatizo maisha yako???
Kakakiiza
Kweli unaweza ukamtukana mama yako mzazi matusi ya nguoni namna hii??
Kweli unaweza ukamfananisha mama ako na fisadi RA????
Kweli wewe unaetamka haya maneno umezaliwa na mwanmke??? Au mwenzetu ulizaliwa na kiumbe tofauti???
Kweli unathubutu kumtukana hadi Muumba wako na kuidharau kazi yake aliyoifanya kuumba mwanamke???
Ndugu, kesho ni Jumapili, siku takatifu kwa wakristo duniani, nenda katubu kabla hujawa KichaaKiiza
Na uwaombe Mods waifute hii sredi yako haraka hapa MMU
kimoja ni kuichagua CCM