Je mnafahamu kuwa kikwazo kikubwa cha maisha ni wanawake??

Je mnafahamu kuwa kikwazo kikubwa cha maisha ni wanawake??

Watu hamjamuelewa KakaKiiza, ukweli wanawake ndio chanzo cha matatizo katika nchi, hasa Tanzania. Kwanza ndio walioiweka CCM madarakani maana hawaelewi kwa urahisi (wagumu kuelewa somo), tazama Mama Salma alivyofanya kipindi cha kampeni. Angalia mawaziri wanawake wanachofanya. Kama katika kila maendeleo mwanamke yupo basi sisi wanawake ndio waliotufikisha hapa.
 
Wanawake wote na wewe japo nimekuletea chumbani!Pole Dena Amsi

KK unajua unaendelea kunikwaza na Jumapili yote hii changanya na Kwaresma kwanini lakini KK???? Mie nakusamehe saba mara sabini yaweza kuwa ni shetani kakutembelea na umeshindwa kumkwepa.
 
Watu hamjamuelewa KakaKiiza, ukweli wanawake ndio chanzo cha matatizo katika nchi, hasa Tanzania. Kwanza ndio walioiweka CCM madarakani maana hawaelewi kwa urahisi (wagumu kuelewa soma), tazama Mama Salma alivyofanya kipindi cha kampeni. Angalia mawaziri wanawake wanachofanya. Kama katika kila maendeleo mwanamke yupo basi sisi wanawake ndio waliotufikisha hapa.



Atiiiiii??????/
 
Atiiiiii??????/

Ndio acha kushangaa, wanawake ndio mlioifikisha nchi hapa ilipo tena nasema kwa herufi kubwa NYINYI NDIO SABABU YA HAYA YOTE TZ, nyinyi mnapenda amani hata kama inawaua
 
Ndio acha kushangaa, wanawake ndio mlioifikisha nchi hapa ilipo tena nasema kwa herufi kubwa NYINYI NDIO SABABU YA HAYA YOTE TZ, nyinyi mnapenda amani hata kama inawaua

Katoe hang'over ndo urudi hapa naona mataputapu bado yako kichwani wewe
 
KK unajua unaendelea kunikwaza na Jumapili yote hii changanya na Kwaresma kwanini lakini KK???? Mie nakusamehe saba mara sabini yaweza kuwa ni shetani kakutembelea na umeshindwa kumkwepa.
Nahitaji maombi yako kwa ukaribu zaidi nazaidi ukiwa umeniwekea mikonoyako kichwani mwangu!!!Fanya hivyokwa msaada wa watu wa jf!
 
Watu hamjamuelewa KakaKiiza, ukweli wanawake ndio chanzo cha matatizo katika nchi, hasa Tanzania. Kwanza ndio walioiweka CCM madarakani maana hawaelewi kwa urahisi (wagumu kuelewa somo), tazama Mama Salma alivyofanya kipindi cha kampeni. Angalia mawaziri wanawake wanachofanya. Kama katika kila maendeleo mwanamke yupo basi sisi wanawake ndio waliotufikisha hapa.
Hawajui kamawao ndiyo chanzo nimewapa mifano michache na kama umechunguza kuna vitu vingi vimetendeka na kuleta maafa makubwa sababu wanawake hata katika jamii utasikia yani kamasiyule mwanamke maisha yake yangekuwa mbali!
<br />
 
Katoe hang'over ndo urudi hapa naona mataputapu bado yako kichwani wewe

utake au usitake huo ndio ukweli hata kama unauma. Mwanamke angeelimika na kuacha misimamo yao ya kuipenda CCM leo tusingekuwa hapa. Tazama wale kinamama wanavyolia kule Chanika baada ya kuvunjiwa nyumba zao na mashamba kuchomwa moto, waulize sasa walichagua chama gani?
 
Nyie ndio mnasema ukimuelimisha mwanamke umeelimisha taifa hivyo kwa kuwa tuko kwenye hali mbaya hii ina maana wanawake hamjaelimika kujua thamani ya taifa hili hivyo nyie ndio mnapaswa kubeba lawama
 
matatizo yote ya maisha wanao sababisha ni wanawake!!Kwani wanawake bila ya kujalisha aliyeolewa na ambaye ajaolewa wote ndiyo wanaosababisha ugumu wa maisha

Naamini hukumaanisha ulivyosema na ni bora uwatake
radhi wanawake/wadada wote kwasababu unacho sema
si kweli.

Hii ni kama vile Adam alivyomwambia Mungu kuwa
mwanamke ndiye aliye mshawishi kula tunda. kwa
maneno mengine ni kutokuukabili ukweli (running
from the truth). Ukweli ni kwamba Adam hakuwa
na balls kusema NO to a woman.

kakakiiza ni bora kujiangalia mwenyewe unapojikwaa
kuliko kunyooshea mwingine kidole.

Mwanamke hawezi kukusababishia ugumu wa maisha
hata kidogo kwasababu binadamu tuna uwezo
wakufanya maamuzi.

katika tatizo lolote unalofikiri ni gumu kulikabili kuna
mtu aliyewahi kulikabili. Umesema mafisadi wamekamatwa
na wanawake ndiyo maana nchi ni masikini, kwani
wao ni watoto? Wao wanauwezo wa kukataa.

Kama wewe ni believer utakumbuka jinsi yusufu alivyo
mkimbia yule mama ambaye alitaka kufanyanae mapenzi
(Mwanzo 39:6-10)

Unajua unapo mnyooshea mwingine kidole inamaana
umekubali kushidwa. Yaani tatizo linakuwa kubwa kuliko
uwezo wako kwahiyo unasingizia watu wengine au
circumstances.

kama utajifunga mkanda na kumuamini Mungu huwezi
kusingizia wengine kwasababu hakuna kinachoshindikana
kwa Mungu.
 
Nahitaji maombi yako kwa ukaribu zaidi nazaidi ukiwa umeniwekea mikonoyako kichwani mwangu!!!Fanya hivyokwa msaada wa watu wa jf!

KK natoka kukuombea maombi ya kukuwekea mikono nakukaribisha nyumbani kwangu leo
 
utake au usitake huo ndio ukweli hata kama unauma. Mwanamke angeelimika na kuacha misimamo yao ya kuipenda CCM leo tusingekuwa hapa. Tazama wale kinamama wanavyolia kule Chanika baada ya kuvunjiwa nyumba zao na mashamba kuchomwa moto, waulize sasa walichagua chama gani?

Mungu akusamehe tu, nitakuombea wakati huu wa kwaresma
 
CPU umetupunguzia mzigo wa kuongea.Print hii kitu mtumie na hardcopy kwa kumbukumbu zaidi.
Kakakiiza

Hivi unafahamu kwamba bila wanawake hata wewe usingeweza kuandika hii sredi???
Hivi unafahamu bila wanawake hakuna kiumbe kitakachoitwa MWANAUME??
Hivi kweli unathubutu kumwambia mama yako mzazi kwamba kukulea kwake tumboni miezi 9, akunyonyeshe, akutunze, akulinde, akupeleke hospitali kila ukiumwa yote hayo ni kukuletea matatizo maisha yako???

Kakakiiza

Kweli unaweza ukamtukana mama yako mzazi matusi ya nguoni namna hii??
Kweli unaweza ukamfananisha mama ako na fisadi RA????
Kweli wewe unaetamka haya maneno umezaliwa na mwanmke??? Au mwenzetu ulizaliwa na kiumbe tofauti???
Kweli unathubutu kumtukana hadi Muumba wako na kuidharau kazi yake aliyoifanya kuumba mwanamke???

Ndugu, kesho ni Jumapili, siku takatifu kwa wakristo duniani, nenda katubu kabla hujawa KichaaKiiza
Na uwaombe Mods waifute hii sredi yako haraka hapa MMU
 
Ndiyo balaa la kutaka kusema wakati huna la maana la kuongea, mwisho wake mtu anajikuta anaingia matatizoni hivi hivi. Bora unyamaze kuliko kujiforce. Leo yamekutokea humu, ole wako yakukute live, utakiona (labda uwe huko sawa). Na humu hakuna ulazima wa kuweka thread. Hivyo sometime baki kimya tu
NI MTAZAMO TU

well said,,,thx
 
tatizo mtoa mada hana hoja sababu ila ana hoja utupu!
 
Ni kweli kabisaaaaaaaaaaa, mwenyewe si unaona hata Shetani alianza kumpa tunda then kwa ulaghai na ss tukala? Bila yy kula walllah tunsingekuwa na matatizo. Big up. Kusema kweli co kuchukia au kutomuheshimu mtu.
 
Wanawake ndiyo pambo la dunia! Bila wao dunia haina maana. Biblia inatuambia tuishi nao kwa akili. Kama wewe umeshindwa kuishi na mwanamke kiasi cha kuwadharau hivyo, maana yake ni kwamba huna akili, full stop!! Sina cha kuongeza.
 
Mungu akusamehe tu, nitakuombea wakati huu wa kwaresma

sijafanya kosa hivyo sihitaji msamaha ukweli ndo huo, wanawake mnatupa shida ya maisha tz, matatizo ya tz ni kwa sababu yenu. Elimikeni, elimisheni vizazi vyenu na waume zenu kwa ushawishi mlionao muone kama tanzania yenye neema itashindikana
 
Back
Top Bottom