Wanawake ndiyo pambo la dunia! Bila wao dunia haina maana. Biblia inatuambia tuishi nao kwa akili. Kama wewe umeshindwa kuishi na mwanamke kiasi cha kuwadharau hivyo, maana yake ni kwamba huna akili, full stop!! Sina cha kuongeza.
Ni kweli kabisaaaaaaaaaaa, mwenyewe si unaona hata Shetani alianza kumpa tunda then kwa ulaghai na ss tukala? Bila yy kula walllah tunsingekuwa na matatizo. Big up. Kusema kweli co kuchukia au kutomuheshimu mtu.
Hivi kumbe ae
Nadhani ingekuwa si wanaume hao wanawake wasingekuwepo..
so we should stop bleming each other
Mie nimeshituka kweli labda kwa kuwa mie mgeni hapa.
Bila sisi usingekuwepo hapa duniani pamoja na dharau zako.
Tutaendelea kukuombea kwa Mungu hapo kesho
Wao ndo chanzo chakilakitu hata katikafamilia unakuta msababishaji ni mwanamke ila mimi najua hawzpendi kuambiwa ukweli wao wanakimbilia kusema kama siyo mimi usingekuwepo nipinge kwa hoja!!Kwani hata mimi nauwezo wakusema bila mwanaume wanawake wasingekuwepo??Ni kweli kabisaaaaaaaaaaa, mwenyewe si unaona hata Shetani alianza kumpa tunda then kwa ulaghai na ss tukala? Bila yy kula walllah tunsingekuwa na matatizo. Big up. Kusema kweli co kuchukia au kutomuheshimu mtu.
Nashukuru kwakulitambua nadhani niuelewa wawatu na watu kujiona wao niwaelevu kuliko wengine!!!ukweli nihuo bila mwanaume hakuna mwanamke!!hivyo tuongee hija kwa nini wanawake wawe chanzo cha matatizo!!????Hivi kumbe ae
Nadhani ingekuwa si wanaume hao wanawake wasingekuwepo..
so we should stop bleming each other