msukule mzembe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 253
- 302
Ndugu msomaji wasaaalaam [emoji120][emoji120][emoji120]
Naombe niombe radhi kua kichwa cha habari na maudhui yatakayopatikana hapa hayana uhusiano wowote ule[emoji16][emoji16][emoji16]. hata mimi nasikitika kwa hilo.
Awali ya yote naitwa msukule mzembe mtoto wa kwanza katika familia yetu ya watoto 13. mimi ndo ninayetegemewa na ndugu zangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Katika pita pita zangu kwenyebTV nikaona ushuhuda wa mwanamke anasema alikunywa mafuta akalala baada ya kuamka akakutana na kitambaa chekundu chenye maandishi ya kiarabu na nyoka mdogo aina ya Black Mamba
Sasa mimi nimetimbwa na matatizo. naombeni mawazo mliowahi kutumia mafuta ya mwamposa je yanatibu kweli au uongo.
Nawasilisha...................
Na switch off [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]
Naombe niombe radhi kua kichwa cha habari na maudhui yatakayopatikana hapa hayana uhusiano wowote ule[emoji16][emoji16][emoji16]. hata mimi nasikitika kwa hilo.
Awali ya yote naitwa msukule mzembe mtoto wa kwanza katika familia yetu ya watoto 13. mimi ndo ninayetegemewa na ndugu zangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Katika pita pita zangu kwenyebTV nikaona ushuhuda wa mwanamke anasema alikunywa mafuta akalala baada ya kuamka akakutana na kitambaa chekundu chenye maandishi ya kiarabu na nyoka mdogo aina ya Black Mamba
Sasa mimi nimetimbwa na matatizo. naombeni mawazo mliowahi kutumia mafuta ya mwamposa je yanatibu kweli au uongo.
Nawasilisha...................
Na switch off [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]