Je, Mpasuko Ndani ya CHADEMA Unaashiria Kuporomoka kwa Chama?

Je, Mpasuko Ndani ya CHADEMA Unaashiria Kuporomoka kwa Chama?

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Madai ya rushwa na matumizi mabaya ya fedha yamekuwa yakitajwa, huku wakosoaji wakimlaumu Mbowe na viongozi wa chama kwa kukosa uwazi na kushindwa kuleta mabadiliko ya kweli.

Swali linalojitokeza ni: Je, CHADEMA bado kina nafasi ya kushinda uchaguzi ujao wa serikali za mitaa? Mgawanyiko huu unaathiri vipi imani ya wananchi kwa chama hiki kikuu cha upinzani? Wanachama wa CHADEMA na wananchi kwa ujumla wanahitaji mshikamano na uongozi wa pamoja ili kufanikisha malengo ya chama, lakini migogoro hii inahatarisha mustakabali wake.

Mjadala huu unatuacha na maswali mengi: Je, CHADEMA itaweza kuzima mgogoro huu na kurejea katika mstari wa mshikamano? Au ni mwanzo wa mwisho wa chama hiki katika siasa za Tanzania?

Toa maoni yako: Je, unadhani CHADEMA inaweza kupona na kujiimarisha kabla ya uchaguzi, au wanachama wataendelea kugawanyika na kukipoteza chama?
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-11-15 at 3.22.09 AM.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-15 at 3.22.09 AM.jpeg
    747.4 KB · Views: 4
Tusiokuwa na vyama tunakosa mbadala. Basi tutabaki na CCM ...hadi kitakapokuja chama kingine strong kama alivyosema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
 
Madai ya rushwa na matumizi mabaya ya fedha yamekuwa yakitajwa, huku wakosoaji wakimlaumu Mbowe na viongozi wa chama kwa kukosa uwazi na kushindwa kuleta mabadiliko ya kweli.

Swali linalojitokeza ni: Je, CHADEMA bado kina nafasi ya kushinda uchaguzi ujao wa serikali za mitaa? Mgawanyiko huu unaathiri vipi imani ya wananchi kwa chama hiki kikuu cha upinzani? Wanachama wa CHADEMA na wananchi kwa ujumla wanahitaji mshikamano na uongozi wa pamoja ili kufanikisha malengo ya chama, lakini migogoro hii inahatarisha mustakabali wake.

Mjadala huu unatuacha na maswali mengi: Je, CHADEMA itaweza kuzima mgogoro huu na kurejea katika mstari wa mshikamano? Au ni mwanzo wa mwisho wa chama hiki katika siasa za Tanzania?

Toa maoni yako: Je, unadhani CHADEMA inaweza kupona na kujiimarisha kabla ya uchaguzi, au wanachama wataendelea kugawanyika na kukipoteza chama?
madaraka ya kulevya ndiyo hasa chanzo na sababu ya vita vya maneno miongoni mwa waandamizi wake wanaonyukana mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi sasa..

athari za wazi ni kwamba,
tutarajie miongoni mwa wanaorushiana maneno watatimkia chama Tawala na wengine watatimkia vyama vingine vya siasa na kuiacha chadema ikawa uchi.

athari nyingine mbaya zaidi ni kwamba,
hali hii ya majibizano ikiachwa hivi ilivyo bila kudhibitiwa ni hatari kwa uhai na maisha miongoni mwa wanaolumbana hususani kwa wasiopenda mijadala ndani ya chadema kufanya maamuzi mabaya kwa vitendo.

kubwa zaidi,
lazima miongoni mwao wachukuliwe hatua za kinidhamu kadiri ya katiba ya Chadema ikiwa ni pamoja na kufukuzwa uanachama wa Chadema kama sio kusimamishwa uongozi.

huu ni mwanzo wa mwisho wa Chadema gentleman 🐒
 
We ajuza anza na CCM, mpaka hakina Makamu, KM aliondoka kwa kashifa kubwa na aibu, Mwenezi alitolewa, shame on you
 
Madai ya rushwa na matumizi mabaya ya fedha yamekuwa yakitajwa, huku wakosoaji wakimlaumu Mbowe na viongozi wa chama kwa kukosa uwazi na kushindwa kuleta mabadiliko ya kweli.

Swali linalojitokeza ni: Je, CHADEMA bado kina nafasi ya kushinda uchaguzi ujao wa serikali za mitaa? Mgawanyiko huu unaathiri vipi imani ya wananchi kwa chama hiki kikuu cha upinzani? Wanachama wa CHADEMA na wananchi kwa ujumla wanahitaji mshikamano na uongozi wa pamoja ili kufanikisha malengo ya chama, lakini migogoro hii inahatarisha mustakabali wake.

Mjadala huu unatuacha na maswali mengi: Je, CHADEMA itaweza kuzima mgogoro huu na kurejea katika mstari wa mshikamano? Au ni mwanzo wa mwisho wa chama hiki katika siasa za Tanzania?

Toa maoni yako: Je, unadhani CHADEMA inaweza kupona na kujiimarisha kabla ya uchaguzi, au wanachama wataendelea kugawanyika na kukipoteza chama?
Uchaguzi ujao wa serikali za mitaa ni upi????
Unazungumzia wa mwaka huu au 2019??
 
Back
Top Bottom