kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Hivi uchawi unafanya kazi kwenye mpira?
Mimi nina mdogo wangu ana miaka 14 mwaka kesho hapo atakuwa na miaka 15. Sasa huyu mdogo wangu ni mchezaji wa mpira, anapenda mpira sana.
Na kwa bahati nzuri alipata bahati ya kuchukuliwa na timu ya vijana chini ya miaka 16 ya Royal Beauport. Hii ni timu kubwa tu, huku Canada inashiriki Ligi Kuu ya Canada.
Ila cha ajabu toka atue kwenye timu hii amepoteza kipaji chake, nimekuwa nikimfatilia kwa umakini amekuwa tofauti na yule wa zamani.
Kipindi cha nyuma alikuwa bora sana, kuanzia kwenye kasi, kupiga chenga, na pasi. Ila nahisi ni kwasababu kipindi cha nyuma walikuwa wanacheza tu kwenye timu za shule, kwasasa amekutana na wachezaji bora zaidi yake ndiyo maana amepotea, na akiendelea vile wanaweza kumtema kabisa.
Sasa nataka kujua je, mpira una uchawi? Labda ninaweza kufanya jambo kwa ajili yake. Napenda kuona akiendelea zaidi.
Mimi nina mdogo wangu ana miaka 14 mwaka kesho hapo atakuwa na miaka 15. Sasa huyu mdogo wangu ni mchezaji wa mpira, anapenda mpira sana.
Na kwa bahati nzuri alipata bahati ya kuchukuliwa na timu ya vijana chini ya miaka 16 ya Royal Beauport. Hii ni timu kubwa tu, huku Canada inashiriki Ligi Kuu ya Canada.
Ila cha ajabu toka atue kwenye timu hii amepoteza kipaji chake, nimekuwa nikimfatilia kwa umakini amekuwa tofauti na yule wa zamani.
Kipindi cha nyuma alikuwa bora sana, kuanzia kwenye kasi, kupiga chenga, na pasi. Ila nahisi ni kwasababu kipindi cha nyuma walikuwa wanacheza tu kwenye timu za shule, kwasasa amekutana na wachezaji bora zaidi yake ndiyo maana amepotea, na akiendelea vile wanaweza kumtema kabisa.
Sasa nataka kujua je, mpira una uchawi? Labda ninaweza kufanya jambo kwa ajili yake. Napenda kuona akiendelea zaidi.