Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,039
- 1,256
baadhi ni mfano wengne hapana. kwangu mimi najifunza mengi toka kwa fid q,mwanafa,salama jabir na nick wa pili. napenda maisha yao wanavyoishi,mawazo yao na yote yao mema
siwezi mridhsha kila mtu! Na neno langu wala sio sheria. Je salama hana jema hata moja ambalo mimi naweza jifunza? Respectumenichefua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wewe ni me au ke?
Unajifunza mazuri au mabaya????