Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,039
- 1,256
Habari wanaJF,inajulikana kuwa msanii ni kioo cha jamii,na tunaamini jamii ni rahisi kumuiga msanii au mtu flani ambaye ni maarufu,tujadiri kidogo kuhusu wasanii wa hapa ndani ya nchi yetu kama Diamond na wengineo wanaong'ara kwa sasa je ni mfano mzuri wa kuigwa na jamii yetu..........!