Je, mshahara wako unakidhi mahitaji yako vyema?

Je, mshahara wako unakidhi mahitaji yako vyema?

paqwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
2,106
Reaction score
2,831
Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli.

1. Mshahara wako wa mwezi kama hauwezi kununua smart phone mpya ya flagship kwa mwaka husika. Mf. Pixel 9 pro xl, iphone 16 pro max. Kama take home yako imeshindwa hilo, ujue wewe ni bwege tu unasindikiza wenzio. Acha hiyo kazi kichaa.

2. Kama mshahara wako haukupeleki vacation au mapumziko kwa kutumia passport wewe na familia yako bila stress. usisumbue watu bar.

3. Kama machawa wanakuzidi safari na mali. Hiyo ni ishara kuna jambo haliko sahihi. Jitafakari.

4. Kama unategemea rushwa na wizi ili maisha yaende.

5. Kama huwezi kujenga nyumba ata ya ghorofa mpaka unastaafu, bila hekaheka au wizi.

6. Kama unaona ni anasa kwenda hoteli zenye hadhi.

7. Kama huwezi kumpeleka mzazi au mtoto au ndugu wa karibu nje kwa matibabu ata kama ni ya kawaida.

Mifano ipo mingi ila kama angalau kimoja tu hapo kinakugusa jua wewe ni juha kalulu tu unasindikiza wanadamu ulimwenguni kwao.
 
Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli.
Haujambo lakini! Chutama kidogo,umetukana asllimia 97 ya, watz!

Hiyo mishahara minono ulipwe kwa uchumi gani wa bongo!? Kuna yule jamaa sasa hv ni mbunge kule njombe, akiwa mgodini alikuwa analipwa 100M! Kwa mwezi! Milioni 100! Na, ule mgodi hauuzi, mazao bongo, unauza ulaya na America! Kwa, mishahara minono hiyo, huupati ndani ya uchumi wa, Bongo,

Ndani ya serikali viongozi senior kabisa, kuanzia Rais, makamu,wakuu wa, majeshi,wakitumia Landcruser V8 toleo jipya,wanaona bonge LA gari LA kifahari! Huku nilipo Hilo gari Mimi nalitumia kama tool box, nabebea ngazi, spanner, mabomba, vyoo,kwa ajili ya service kwenye makazi ya wakubwa wa nchi za ulaya!

Kwa uchumi wetu 356000Tsh ndio kima cha chini, thamani yake ni sawa na milioni 3 ukiwa nchi za, ulaya, fedha yako inamudu kujimwambafy ndani ya uchumi wetu, ukitoka nje kununua bidhaa kama iphone, utajamba mishuzi
 
Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli.

a angalau kimoja tu hapo kinakugusa jua wewe ni juha kalulu tu unasindikiza wanadamu ulimwenguni kwao.
Ukikuwa utaacha ushoga kwahiyo wakuige ushoga wako shenzi kabisa
 
Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli.

1. Mshahara wako wa mwezi kama hauwezi kununua smart phone mpya ya flagship kwa mwaka husika. Mf. Pixel 9 pro xl, iphone 16 pro max. Kama take home yako imeshindwa hilo, ujue wewe ni bwege tu unasindikiza wenzio. Acha hiyo kazi kichaa.

2. Kama mshahara wako haukupeleki vacation au mapumziko kwa kutumia passport wewe na familia yako bila stress. usisumbue watu bar.

3. Kama machawa wanakuzidi safari na mali. Hiyo ni ishara kuna jambo haliko sahihi. Jitafakari.

4. Kama unategemea rushwa na wizi ili maisha yaende.

5. Kama huwezi kujenga nyumba ata ya ghorofa mpaka unastaafu, bila hekaheka au wizi.

6. Kama unaona ni anasa kwenda hoteli zenye hadhi.

7. Kama huwezi kumpeleka mzazi au mtoto au ndugu wa karibu nje kwa matibabu ata kama ni ya kawaida.

Mifano ipo mingi ila kama angalau kimoja tu hapo kinakugusa jua wewe ni juha kalulu tu unasindikiza wanadamu ulimwenguni kwao.
Unge anza ww kutuonyesha Payslip yako kisha tuende sawa badala yake ume weka mipasho tu kisha ume kimbilia kupakwa Didy Oil
 
Kwa makadirio, 70% ya waajiriwa wana take home ya chini ya millioni 1. 20% chini ya 4M na 8% chini ya 10M na 2% ndiyo wapo juu ya 10M.
 
Unaweza kuwa unalipwa kidogo Ila ukawa na MAISHA mazuri na ya kisasa

Net salary inaweza kuwa kubwa Ila gross salary ikawa ndogo.
 
Back
Top Bottom