Je, mshahara wako unakidhi mahitaji yako vyema?

Je, mshahara wako unakidhi mahitaji yako vyema?

Una umri gani kwanza ? Tuanzie hapo maana mkiwa University first year wengi mnakuwa na notion kama hizi.
Nilishapita huko kitambo sana yani.
 
Unaweza kuwa unalipwa kidogo Ila ukawa na MAISHA mazuri na ya kisasa

Net salary inaweza kuwa kubwa Ila gross salary ikawa ndogo.
Kasome tena na tena yani. Hujajua bado tofauti ya net na gross. Yani net salary iwe kubwa zaidi ya gross? 🤣
 
Kasome tena na tena yani. Hujajua bado tofauti ya net na gross. Yani net salary iwe kubwa zaidi ya gross? 🤣


We sifikirii Kama umeelewa nilichoandika.

Mimi nililenga kuelezea kuhusu

Net profit na Gross profit

Unaweza Kuwa unalipwa hela nyingi au kipato Kikubwa Ila ukazidia maendeleo na MTU mwenye kipato kidogo.

Mfano unafikiri ukiwa unaishi paycheck to paycheck unaweza ukawa sawa na MTU ambaye anapata mshahara mdogo Ila haishi paycheck to paycheck.


.
 
Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli.

1. Mshahara wako wa mwezi kama hauwezi kununua smart phone mpya ya flagship kwa mwaka husika. Mf. Pixel 9 pro xl, iphone 16 pro max. Kama take home yako imeshindwa hilo, ujue wewe ni bwege tu unasindikiza wenzio. Acha hiyo kazi kichaa.

2. Kama mshahara wako haukupeleki vacation au mapumziko kwa kutumia passport wewe na familia yako bila stress. usisumbue watu bar.

3. Kama machawa wanakuzidi safari na mali. Hiyo ni ishara kuna jambo haliko sahihi. Jitafakari.

4. Kama unategemea rushwa na wizi ili maisha yaende.

5. Kama huwezi kujenga nyumba ata ya ghorofa mpaka unastaafu, bila hekaheka au wizi.

6. Kama unaona ni anasa kwenda hoteli zenye hadhi.

7. Kama huwezi kumpeleka mzazi au mtoto au ndugu wa karibu nje kwa matibabu ata kama ni ya kawaida.

Mifano ipo mingi ila kama angalau kimoja tu hapo kinakugusa jua wewe ni juha kalulu tu unasindikiza wanadamu ulimwenguni kwao.
Wanasemaga mshahara hautoshi hata ulipwe mil 10 kwa mwezi
 
We sifikirii Kama umeelewa nilichoandika.

Mimi nililenga kuelezea kuhusu

Net profit na Gross profit

Unaweza Kuwa unalipwa hela nyingi au kipato Kikubwa Ila ukazidia maendeleo na MTU mwenye kipato kidogo.

Mfano unafikiri ukiwa unaishi paycheck to paycheck unaweza ukawa sawa na MTU ambaye anapata mshahara mdogo Ila haishi paycheck to paycheck.


.
Hakuna kitu unaandika. Unarukaruka tu. Umeandika salary. Sasahivi umegeuza profit sijui Nini. Embu tuliza akili. Au ndio mmedata na mishahara koko😂
 
Back
Top Bottom