Je, msichana anaweza kupoteza usichana wake (bikra) bila kutokwa na damu?

Je, msichana anaweza kupoteza usichana wake (bikra) bila kutokwa na damu?

Mr Penal Code

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
823
Reaction score
216
Habarini wadau,

Poleni na majukumu nipo hapa kuuliza je msichana anaweza kupoteza usichana wake bikra bila ya kutokwa na Damu kwa mara ya kwanza baaada ya kufanya mapenzi.

Lets assume kwamba hakuna vitendo vyoyote alivyo wahi fanya ambavyo vinaweza kusababisha kupoteza hyo bikra yake kwa mfano kuendesha baiskeli na etc.

Naomba ufanunuzi kuhusu hili swala kwa maana nilipojaribu kufanya uchunguzi wangu google inaonekana inawezekana . Na kama tukipata ushahidi wa kisayansi itakuwa vizuri.

Naomba kuwasilisha
 
Ukiona manyoyaaa...ujue keshaliwa!!embu shusha udambwe kilichokufanya uka 'gugo' bikra isiyotoa damu?
 
Ukiona manyoyaaa...ujue keshaliwa!!embu shusha udambwe kilichokufanya uka 'gugo' bikra isiyotoa damu?

Hakuna manyoa mkuuu wala sitaki hyo bikra but kuna ubishi hapa chuoni coz tunasoma issue relating na wanawake so kuna wengine wanakubali wengine wanabisha so ili kujiridhisha nikaamua kulileta hili swala hapa.
 
Hizo bikra zinazotoka zenyewe,sijui kwa baiskeli mi hata sizielewi..mi najua bikra inatolewa kwa dushe
 
Da nimeuliza sana hili na nimelifanyia uchunguzi kwa wanawake wenyewe wanadai inawezekana ikatoka damu au isitoke ila bado naendelea na utafiti
 
Mwanaume wa kwanza kunigegeda mwarabu za kwao zinajulikana zilivyo hazina nguvu,wa pili mmasai mmasai ndo alinitoa bikra....yule mwarabu alinitangaza sana na kuniwekea wimbo wa sumaleee chungwa kama chenza...
Ku....mamake amtamani kweli nikutane nae maana nitamchamba na kidude chake kilichoshindwa kazi,kitu mmasai nliugulia siku 3
So ndugu yangu usije kuwa kama mwarabu....
 
amu
We una maneno wewe.
Yelo akafanya mambo
 
Last edited by a moderator:
Kwanza neno Bikira lina maana pana kuliko tunavyo dhania, na ubikira una pande mbili. Nadhani kuna ubikira wa kihisia na ubikira wa kimwili. Nadhani kama kweli mtu anataka asiwe bikira anatakiwa kuachana na mambo yote ya kihisia kuhusu ubikira na kujihusisha na vitendo vya ngono kimwili.
Katika tafsiri yangu hii, kitendo chochote cha ngono kinachohusisha watu kuchojoa nguo na kusisimkwa mpaka kufikia mshindo hata bila kuingiliana kimwili basi ni ngono. Nadhani kuwa uchi na kusisimuana ni ‘hatua ambayo haina kurudi nyuma', siyo kuingiliana kimwili.
Haijalishi kama kitendo hicho ni cha mwanamke na mwanamume kwa asili au ni cha wanaume kwa wanaume (mabasha na mashoga) au wanawake kwa wanawake (wasagaji), kama utashirikiana mwili wako na mtu mwingine, au kama utampa raha ya kimahaba mtu mwingine mpaka akafikia mshindo na kutoa manii au ukiwa na madhumuni atoe manii, basi umefanya ngono.
Pia nadhani kwamba ubikira siyo kitu fulani ambacho ‘unapoteza' au ‘kinachukuliwa', bali kitu fulani ambacho unashirikiana na mtu mwingine, mara moja tu katika maisha. Kama hukumpatia mtu mwingine, basi utaendelea kujihesabu kama ni bikira.
Nadhani watu ambao wamebakwa au kutomaswa bado wataendelea kuwa bikira katika hisia hata kama miili yao imefanya mapenzi. Hawajakoma kuwa bikira, na wala hawajawahi kufurahia na kuijua raha ya hisia za kimapenzi ambayo huenda sambamba na kuutoa mwili wako kwa mahaba kwa mtu mwingine.
Kama bikira yako imetolewa na mtu mwingine kwa mabavu, japokuwa ni kwa kufanya mapenzi kimwili, sidhani kama ni busara kusema kwamba wewe si bikira tena. Bado utaendelea kujichukulia kana kwamba hujawahi kufanya mapenzi, bado utaona ngono kama kitu kigeni kwako.
Kuwa mwathirika wa kubakwa hakuwezi kukakulazimu uishi na alama ambayo hukuiomba au kuitaka. Ubikira siyo kitu ambacho mtu anakipoteza kwa bahati mbaya, kutokuwa bikira ni jambo ambalo mtu analichagua mwenyewe.
Mtu aliyebakwa na kwa bahati mbaya akapata mimba, bado kwa fikra zake ataendelea kujiita bikira, na hilo linaweza lisiwe kosa kwake! Haijui raha ya mapenzi, hajui maana ya mapenzi, mpaka pale atakapoamua mwenyewe kwa nafsi yake kwamba anahitaji kufanya mapenzi, ndipo anapoweza kuamini akilini mwake kwamba si bikira tena!
 
Mwanaume wa kwanza kunigegeda mwarabu za kwao zinajulikana zilivyo hazina nguvu,wa pili mmasai mmasai ndo alinitoa bikra....yule mwarabu alinitangaza sana na kuniwekea wimbo wa sumaleee chungwa kama chenza...
Ku....mamake amtamani kweli nikutane nae maana nitamchamba na kidude chake kilichoshindwa kazi,kitu mmasai nliugulia siku 3
So ndugu yangu usije kuwa kama mwarabu....

Weekend njema amu
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume wa kwanza kunigegeda mwarabu za kwao zinajulikana zilivyo hazina nguvu,wa pili mmasai mmasai ndo alinitoa bikra....yule mwarabu alinitangaza sana na kuniwekea wimbo wa sumaleee chungwa kama chenza...
Ku....mamake amtamani kweli nikutane nae maana nitamchamba na kidude chake kilichoshindwa kazi,kitu mmasai nliugulia siku 3
So ndugu yangu usije kuwa kama mwarabu....

hahahahaaaaaaaaa umenichekesha aise?
 
Tangu enzi na enzi bikra ikitolewa lazma kuwe na damu sasa unaposema hamna wakati hata ukisoma biblia ndivyo inavyo sema nakuwa sikuelewi..
 
Tangu enzi na enzi bikra ikitolewa lazma kuwe na damu sasa unaposema hamna wakati hata ukisoma biblia ndivyo inavyo sema nakuwa sikuelewi..

Siyo lazima, mimi sijawahi kuiona hiyo damu siku ya kwanza hadi leo hii.
na sijakulia kijijini, nimekulia makuzi ya kawaida tu. sina sababu ya kusema uongo ila kwa kuwa imenikuta nimeamini, ila kwa wanaume kuamini ni shida
 
Back
Top Bottom