Lmntrix
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 570
- 407
siyo lazima, mimi sijawahi kuiona hiyo damu siku ya kwanza hadi leo hii.
na sijakulia kijijini, nimekulia makuzi ya kawaida tu. sina sababu ya kusema uongo ila kwa kuwa imenikuta nimeamini, ila kwa wanaume kuamini ni shida
Mh! Okay ila bado siamin eeh