Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?

NIMEJIFUNZA KITU
ubarikiwe uliyetoa hii thread maan weng tulikuw tunatafsr vbay,much obliged to u
 
Mimi nmewaelewa saasa naomba kujua kuanzia leo ni mtandao gani hapa tz ulio vizir kwa mjibu wa mada hii yaani unapota upload, download, na ping au kwa vyote upi unakitahidi sana.
 
Kwa iyo sasa upi mtandao mzur kwa hapa tz wenye speed nzuri kila sehem iwe download au ping au uploading
 
Hii hapa ni vodacom nipo dar mitaa ya tabata vp iko poa kwa mjibu wa wataalam au??
 
Huuu uzi watu wakisha uterekeza kumbe [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mimi nmewaelewa saasa naomba kujua kuanzia leo ni mtandao gani hapa tz ulio vizir kwa mjibu wa mada hii yaani unapota upload, download, na ping au kwa vyote upi unakitahidi sana.
Mitandao yote ya 4g ni mizuri na kwa 3g halotel wanajitahidi kwenye ping.

Kwa experience yangu ya kucheza games online TTCL ni best kwenye ping wakifuatiwa na Halotel,voda na tigo.

screenshot uliyoweka ni around 100ms sio mbaya sana.
 
Mitandao yote ya 4g ni mizuri na kwa 3g halotel wanajitahidi kwenye ping.

Kwa experience yangu ya kucheza games online TTCL ni best kwenye ping wakifuatiwa na Halotel,voda na tigo.

screenshot uliyoweka ni around 100ms sio mbaya sana.
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…