Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
Si vema tukawafikiria walioko madarakani kwamba ndiyo wanaofaa tuu,Yamkini jamii yetu inao watu makini na wenye sifa za uongozi tena waadilifu.Isipokuwa tuu mfumo wetu hauwapi nafasi watu wa aina hii kujitokeza au kuppewa jukwaa la kujulikanika.Ni sawa na kung'ang'ania watu waliofilisika kifikra tukiwaacha vijana wenye mawazo endelevu.Mfumo wa kuwapata viongozi walioandaliwa hatunao,hata kama ulikwisha kuwepo basi yamkini umeshindwa kutupatia viongozi walio bora.

Kwani sasa ni bora viongozi tu.Vyama vya siasa navyo vipo vipo tu lakini ni miradi ya mafisadi wengine waliojitoa katika ufisadi unaoeleweka na kujiundia ufisadi binafsi.Sasa mbele yetu tuna kazi ya kukarabati mfumo wa kuwapata viongozi,Kwa kuipitia katiba yetu na kufanya marekebisho muhimu na ya kina kuhusu kipengele cha jinsi ya kuwapata viongozi wakuu wa nchi.

Hata mawaziri pia nao wanapaswa kufanyiwa mchujo na usaili wa kina na Bunge pia .Kwa hiyo kabla ya kufikiria nani aongoze nchi 2010,tuangalie Katiba kwanza.Pili,Utaratibu wa kitawala kwenye vyama vya siasa nao tuungalie pia.
 
Ukiangalia kila kiongozi Tanzania ni FISADI.Na kila siku humu watu tunakaa na kujadili na kulalamika sana kuhus viongozi wetu hawa.

Swali ni je tumekaa na kufikiria ni nani atafaa kuingoza Tanzania kunako 2010?.Maana hiyo 2010 siyo mbali atii, hivi sasa tupo tunaingia april 2009 inamaana sasa hivi ni wakati muafaka wa kuandaa wagombea wa kiti cha uraisi 2010 (iwe CCM or Chadema,CUF etc).

Mimi nadhani ni wakati muafaka akijitokeza mwanamke hii 2010 kugombea hicho kiti cha raisi, it doesnt matter anatokea chama gani.Wako smart women kwenye Tanzanian politics wengi tuu ambao wana qualify.Mfano akina Anna Makinda (very smart and strong woman) na wala siyo FISADI.

Ukiangalia kwenye uchaguzi wa marekani watu wengi walikuwa hawaamini kabisa marekani ingeweza kuongozwa na mwanamke.Look at Hilary alikuwa kidogo tuu achukue uraisi,she never back down no matter what ali-stand up strong.I believe kuna wamawake Tanzania wako strong and smart kama Hilary Clinton.

Kelly01,
Ukitaka mara nyingine uangalie kizuri, unaangalia kitu kibaya. Kwa hiyo mimi badala ya kusema nani anafaa nitasema yupi hafai. Kwa hiyo Kiongozi mwenye tabia ya kimtandaomtandao na scheming za kila siku kama KIKWETE na kundi lake la wana mtandao hatufai. Hivyo basi anayetufaa 2010 awe mtu asiyekaa kimtandaomtandao, mwenye scheming zisizoisha bila kufanya kazi na mtu mwenye uelewa mpana wa matatizo yanayoikumba nchi yetu. Sasa kwangu mimi mtu yeyote akichukua fomu kugombea nitamwangalia kwa vigezo hivyo.
 
Ukiangalia kila kiongozi Tanzania ni FISADI..

SASA UNA MAANA KILA KIONGOZI TANZANIA NI MWANAUME?




Mimi nadhani ni wakati muafaka akijitokeza mwanamke hii 2010 kugombea hicho kiti cha raisi, it doesnt matter anatokea chama gani.Wako smart women kwenye Tanzanian politics wengi tuu ambao wana qualify.Mfano akina Anna Makinda (very smart and strong woman) na wala siyo FISADI...


HAPA SIO KWELI!kuna wanawake kibao walioshika nafasi wakaambulia KASHFA ZA UBADHILIFU!of all the ladies nenda ukaone jina la ANNA MKAPA kwenye '50 people who are screwing up tz!




Hilary alikuwa kidogo tuu achukue uraisi,she never back down no matter what ali-stand up strong.I believe kuna wamawake Tanzania wako strong and smart kama Hilary Clinton...

I WOULD SUGGEST YOU GO FOR THE PRACTICAL EXAMPLE!hillary IN THE BIG METROPOLITAN COUNTRIES,which means hawezi kuwa na njaa ambazo nchi za dunia ya tatu zinazo.

Ningependa ujue tu huu mfano wa hillary SIO HALISI.i knw there may be women IN AFRICA.........

ALL THE WAY!thred yako nzuri
 
we unawazimu.. Do you know this woman? She is a a leach..a poison... Bora mmpe mama Mkapa..kuliko huyu.

Hahahaha haya bana hebu elezea kidogo kwanini Anna Mkapa anafaa zaidi kuliko yule mbuge machachali?
 
Hahahaha haya bana hebu elezea kidogo kwanini Anna Mkapa anafaa zaidi kuliko yule mbuge machachali?

...Mnamwona Anne Kilango machachari eeh!!! naona hamkuwahi kucheza karata since utotoni nyie watu.... Kuweni waangalifu
 
Jakaya Mrisho Kikwete.

Upinzani butu; mwanamke rais bado kidogo.

PS: Heri jini ulijualo kuliko jini usilolijua...................
 
SASA UNA MAANA KILA KIONGOZI TANZANIA NI MWANAUME?

wanaume ndiyo wanaoongoza tanzania..ndiyo maana nikasema its about time na wanawake pia wajaribu kujitokeza.


HAPA SIO KWELI!kuna wanawake kibao walioshika nafasi wakaambulia KASHFA ZA UBADHILIFU!of all the ladies nenda ukaone jina la ANNA MKAPA kwenye '50 people who are screwing up tz!

kwa hiyo ubadhilifu wa mama Mkapa ndiyo unachanganya wanawake wote?...lazima kutakuwa na wanawake ambao hawana sifa mbaya na pia wanaweza kujitokeza kugombea kiti ch auraisi sema tuu wapo waoga sana...Ona liberia mwanamke kajitokza na sasa anaongoza nchi...ni ujasiri tuu.



I WOULD SUGGEST YOU GO FOR THE PRACTICAL EXAMPLE!hillary IN THE BIG METROPOLITAN COUNTRIES,which means hawezi kuwa na njaa ambazo nchi za dunia ya tatu zinazo.

Ningependa ujue tu huu mfano wa hillary SIO HALISI.i knw there may be women IN AFRICA.........

ALL THE WAY!thred yako nzuri


Oh well i guess hatujaelewana....mimi nimetoa mfano wa Hillary as a woman kujitokeza kugombea and she was almost there.....i dont care kama ana njaa au hana njaa na nchi za africa kwani angeshinda uraisi angekuwa raisi wa Africa mpaka ajali afrika like that?......

Ok unataka mfano wa mwanamke ambaye i know ana rule Afrika...ELLEN JOHNSON-SIRLEAF.....What about that?na liberia walisema hivyo hivyo hatuko tayari.....and then what?
 
George Carlin said:
“I don't vote. Two reasons. First of all it's meaningless; this country was bought and sold a long time ago. The shit they shovel around every 4 years *pfff* doesn't mean a f****g thing. Secondly, I believe if you vote, you have no right to complain. People like to twist that around – they say, 'If you don't vote, you have no right to complain', but where's the logic in that? If you vote and you elect dishonest, incompetent people into office who screw everything up, you are responsible for what they have done. You caused the problem; you voted them in; you have no right to complain. I, on the other hand, who did not vote, who in fact did not even leave the house on election day, am in no way responsible for what these people have done and have every right to complain about the mess you created that I had nothing to do with.”

Hii ndo philosophy inayofaa nadhani!
 
Kwa sasa tufikirie 2015 JK atakuwa raisi 2010 pamoja na mapungufu yake yote!

Let us be realists!

Hata ukiweka mgombea binafsi sii rahisi kumwangusha JK na CCM kwa sasa!

Kama JK akisema hatogombea for the 2nd term: basi hii hoja ya kufikiria nani ateuliwe na CCM becomes relevant!

Nina uhakika CCM itampekeza na JK atakuwa tayari tena kugombea!

Sema natabiri atapata 60-65% ya kura na sii tena over 80% za 2005!
 
msije mkawa mnampigia debe sofia simba (SS)

yale JK aliyoyafanya kwenye mkutano uliofanyika twin towers yanatosha

embu fikiria sofia simba angekuwa anaulizwa yale maswali angejibu niini
maana yake mwanakijiji tu kidogo amtoe roho je kwenye kadamnasi kama ile

jamani jamani chonde chonde tafadhali sio SS
 
Mimi Nilidhani Kelly thread yako unge edit kichwa that is ki read Sasa ni mwanamke gani Anafaa 2010? kwani details zimebase kwenye gender.

Otherwise according to Petu Hapa, mimi ninaona watu wachache tu wenye guts kama Magufuli. Vinginevyo apewe one of the JF members kama Invisible, Mzee mwanakijiji etc...then watakuwa in a position to chose some others members ambao hawana chembe ya ufisdi toka hapa JF then wawe ministers. Achana na manyama CCM.

Apewe mwanakijiji!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tumekwishaaaaaa
 
Kelly uraisi umekuwa ukipatikana kwa namna uliyoipendekeza hapo juu,muislam,mkristo,haiba hii ama ile nk
Ofcourse kwa muda imekuwa hivyo chini ya chama kimoja,na kwahiyo sishangazwi sana unapoleta karata ya feminism.
Hata hivyo maoni yangu;swali la kwanza kwa mgombea yoyote yule...What he/she going to do differently?
Swali hilo aliulizwa JK na mwanadada ambaye hata si Mtanzania...Utafanya nini cha tofauti?alishindwa kusema kuwa atafanya nini cha tofauti,hilo likiwa swali la msingi then tunaweza kusikiliza kama it make sense na si porojo za itikadi za vyama nk.
Nasapoti pia mgombea binafsi.
 
Mtajadili weeeeeeee wkt NEC tayari walisha pitisha tokea 2005.Ndo huyo huyo.
 
Kelly uraisi umekuwa ukipatikana kwa namna uliyoipendekeza hapo juu,muislam,mkristo,haiba hii ama ile nk
Ofcourse kwa muda imekuwa hivyo chini ya chama kimoja,na kwahiyo sishangazwi sana unapoleta karata ya feminism.
Hata hivyo maoni yangu;swali la kwanza kwa mgombea yoyote yule...What he/she going to do differently?
Swali hilo aliulizwa JK na mwanadada ambaye hata si Mtanzania...Utafanya nini cha tofauti?alishindwa kusema kuwa atafanya nini cha tofauti,hilo likiwa swali la msingi then tunaweza kusikiliza kama it make sense na si porojo za itikadi za vyama nk.
Nasapoti pia mgombea binafsi.

Siyo Kila mtu kama JK...yo never know we all think different so kuna mtu lazima yupo hapo tanzania lakini sema tuu tumengangania viongozi wetu hao hao then we call them fisadi tutalalamika wee kubadilika hatutaki....we nedd to think outside the box then take action...talk and action lakini siyo we talk without any action.

Lets try other people and see siyo watu ambao wako kwenye system toka miaka ya 47 unadhani watafanya nini kubadilisha nchi nothing....
 
Kelly, cha msingi ni kuuliza swali kuwa watafanya nini cha tofauti,hilo swali ni muhimu sana...Awe ambaye ni popular ama la,cha msingi ni swali hilo alilolimwa JK,ni kipi watafanya cha tofauti? Unless umeridhika na mwenendo wa nchi toka tupate uhuru....Then the next thing utamwuliza sheick Yayha...Cha muhimu nilichokuwa nikisisitizia ni kwamba tuwapime kwa vigezo vya kile watakachoifanyia nchi na si nchi itakachowafanyia,personalities,gender nk hayo ni afterwards.
 
Back
Top Bottom