JK as a person is really good chap. Lakini as the President i really doubt.
Angalia alichukua nchi ikiwa katika hali gani kiuchumi, look at it now. Inflation ilikuwaje alipochukua nchi, it was very low, look at it now tunaelekea kwenye inflation inayofanana na nchi ambazo hazimanage uchumi wake vizuri, we are very close to that.
Angalia utekelezaji wa Sheria na haki. Wenye nguvu na wenye pesa ndio wenye haki, wanyonge hawana haki. Mfano mzuri ni kesi ya Ditopile, na kesi ya EPA etc...justice serves the rich. Wezi wa mabilioni wanafahamika wapo tu wanapeta na wanajidai na ulinzi juu na wanatumia raslimali za serikali, mhasibu mmoja aliiba laki 2 huko moshi sasa yuko ndani.
Angalia kama kuna any sound social and economic plan, au hata supervison na implementation ya mipango ya serikali ya awamu ya tatu, hakuna kitu ambacho mtu mwenye akili timamu atakubaliana nacho.
Nothing tangible that his government can show.
Lakini kama ukiniwekea Lowassa na JK, i will go for JK, ukiniwekea JK na Kingunge i will go for JK, so it depends kama CCM watakuwa makini kuweka watu watakao mchallenge JK. Na kwa upande wa pili inatagememea nani kutoka opposition atasimama, kama ni Mrema bado by far unaona ni afadhali JK.
Wanaompigia debe JK wanafanya hivyo kwa jili ya interest zao binafsi, na sio kwa kuwa JK anafaa kuwa rais, we all know that the chair is too big for him.