Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
917154]Hakuna anayefaa. Tunahitaji mtu mwenye vision, atuondoe usingizini na kututoa kwenye visingizio vingi tulivyo navyo on our poverty.[/COLOR]
Hakuna anyefaa maana ili uweze kufikia mahali pa kuwa mgombea urais utakuwa umevuka mizengwe mingi hivyo bila shaka utakuwa nawe ni mtu wa mizengwe. Dk Slaa na wenzake wanaweza kuwa wazuri sana kukosoa lakini wakashindwa kuongoza.Next tuna matatizo ya kukumbatia uwongo na porojo sijui imekuwa ni culture yetu?.We need leadership ku shake up the whole system and 'culture'.
Vichekesho sana.. Makosa makubwa ya JK ni kuwa baba huruma kwa majambazi kama kina Lowassa, Mahita, Chenge na wengineo. Sasa ajabu ya Firaun ni kwamba ule ukatili na ujambazi wao ndio watu wanaona ni Ujasiri na wachapakazi..Pengine tuongezee kusema Lowassa rais na Mahita waziri mkuu.2010 -2015 Edward Lowassa anafaa sana ndani ya CCM..JK angekuwa na busara ya kumwachiaa ili angalau kuwe na kautekelezajii katika mipango ya serikali.
Tunapo taja majina haraka haraka ndipo tunapo kosea. Kwanza tuna takiwa kuainisha sifa na vigezo vya raisi tunaye hitaji(msisitizo kwenye tunaye mhitaji siye tunaye mtaka). Baada ya hapo ndipo tuangalie kati ya viongozi wata kao jitokeza kuomba kura zetu nani ana timiza hizo sifa na vigezo zaidi ya wengine? Tuna bidi tuku bali kwamba chaguo la raisi wetu lina kuwa ni short list iliyo andaliwa na vyama vyetu vya siasa kwa hiyo siyo lazima tunaye mtaka awe raisi ana taka kuwa raisi au ana kubalika kwenye chama chake.
Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge utakaofanyika October mwaka huu tuna wagombea wengi ambao hadi hivi sasa wameshajitokeza kuwania nafasi ya urais wa nchi. Nafikiri tujaribu kuangalia ni nani atafaa kuwa Rais wa Tanzania kati ya hawa wengi waliojitokeza na kwanini tunafikiri atatufaa. Ni rukhusa kuandika sifa zote ambazo tunazitaka kwa Rais wetu na kuelezea ni nani anazo na nani hana. Ukiweka na sababu kwanini anazo au hana, itapendeza zaidi.
Karibuni tuchangie na tupige kura.
Waliojitangaza hadi sasa ni
Jakaya Kikwete
Wilbroad Slaa
Ibrahimu Lipumba
Mutamwega Mugahywa na
Rungwe
Kama kuna anayemiss mnaweza kuongeza
anayefaa ni Jakaya Mrisho kkikwete